Hongera January Makamba, ulifichwa kwenye msitu wa mazingira ukautumia vyema Sasa unanawiri

MWITONGO MAARIFA

JF-Expert Member
Aug 11, 2018
276
1,428
Makamba alipoteuliwa Waziri ofisi ya Makamu wa Rais tuliamini amepotezwa kwenye siasa, ila mdogomdogo akavumilia chini ya ushauri wa baba yake pamoja na mzee wa msoga na sasa naamini anatamani asitolewe kwenye ile Wizara.

Ameonyesha njia pasipo na njia, kutoka kuwa ofisi ya kukata utepe na kuzindua miradi hadi kuifanya ofisi kuwa sehemu ya mijadala kuhusu kesho ya Taifa letu hasa katika mazingira.

Nimwombe aangalie na achukue taadhari kwenye agenda ya mifuko ya plastiki maana wasiomtakia mema na wenye wivu wanasubiri atoe katazo la mifuko ya plastiki ndipo waje wasitishe katazo hilo kwani ni wazi bado mifuko mbadala hakuna. Ajiwekee mkakati wa muda mrefu naamini atafanikiwa ila akikimbilia kutafuta legacy mikakati yake itafukiwa ardhini na ataambulia fedhea......usajili wa simu
 
Unajua kuchomekea mifuko yako wewe salimisha tu wacha janja janja. Kwani kabla ya Marlboro na Rambo tulikuwa tunatumia nini?
 
Makamba alipoteuliwa Waziri ofisi ya Makamu wa Rais tuliamini amepotezwa kwenye siasa, ila mdogomdogo akavumilia chini ya ushauri wa baba yake pamoja na mzee wa msoga na sasa naamini anatamani asitolewe kwenye ile Wizara.

Ameonyesha njia pasipo na njia, kutoka kuwa ofisi ya kukata utepe na kuzindua miradi hadi kuifanya ofisi kuwa sehemu ya mijadala kuhusu kesho ya Taifa letu hasa katika mazingira.
Naunga mkono hoja


P
 
I beg to differ!

January hajaitendea haki ile wizara kiukweli. Mfano kila siku DSM inakuwa jangwa. It is dry na wala watu hawana mwamko wa kupanda miti. Angeweza kuwa creative akaanzisha campaign ya kitaifa kila mtu apande miti mitano mitano kila mwezi. na likawa zoezi endelevu. Au akafanya mobilization Dar tukapanda miti majumbani na mabarabarani….... Ofcourse hili swala ni mtambuka lina wagusa wengi (RC/DC/Mayors/madiwani etc). Lakini angeamua angefanya kitu chenye impact kwenye mazingira yetu. Angeonyesha njia.

Personally, naamini January alipewa wizara ambayo angeonyesha impact kubwa kuliko alivyofanya. Tena uzuri ni wizara isiyo na purukushani na wanasiasa wengine.

Again, While January may be charismatic, lakini he has never impressed me as a bold and daring leader (Zaidi ya kuwa mwizi wa kura kuisadia CCM ishinde). Hana uadilifu wa kumfanya awe kiongozi mwenye maono.

Leo anaonekana na maana kidogo kwa sababu tunamlinganisha na wenye akili ndogo akina Bashite nk. Kiufupi ni wale wale tuu! He has nothing new to offer!
 
I beg to differ!

January hajaitendea haki ile wizara kiukweli. Mfano kila siku DSM inakuwa jangwa. It is dry na wala watu hawana mwamko wa kupanda miti. Angeweza kuwa creative akaanzisha campaign ya kitaifa kila mtu apande miti mitano mitano kila mwezi. na likawa zoezi endelevu. Au akafanya mobilization Dar tukapanda miti majumbani na mabarabarani….... Ofcourse hili swala ni mtambuka lina wagusa wengi (RC/DC/Mayors/madiwani etc). Lakini angeamua angefanya kitu chenye impact kwenye mazingira yetu. Angeonyesha njia.

Personally, naamini January alipewa wizara ambayo angeonyesha impact kubwa kuliko alivyofanya. Tena uzuri ni wizara isiyo na purukushani na wanasiasa wengine.

Again, While January may be charismatic, lakini he has never impressed me as a bold and daring leader (Zaidi ya kuwa mwizi wa kura kuisadia CCM ishinde). Hana uadilifu wa kumfanya awe kiongozi mwenye maono.

Leo anaonekana na maana kidogo kwa sababu tunamlinganisha na wenye akili ndogo akina Bashite nk. Kiufupi ni wale wale tuu! He has nothing new to offer!
Jina lako tu linatoa mwelekeo wa maono yako! "Masanja"?! January huwezi mlinganisha na mediocres unaowafikiria!
 
I beg to differ!

January hajaitendea haki ile wizara kiukweli. Mfano kila siku DSM inakuwa jangwa. It is dry na wala watu hawana mwamko wa kupanda miti. Angeweza kuwa creative akaanzisha campaign ya kitaifa kila mtu apande miti mitano mitano kila mwezi. na likawa zoezi endelevu. Au akafanya mobilization Dar tukapanda miti majumbani na mabarabarani….... Ofcourse hili swala ni mtambuka lina wagusa wengi (RC/DC/Mayors/madiwani etc). Lakini angeamua angefanya kitu chenye impact kwenye mazingira yetu. Angeonyesha njia.

Personally, naamini January alipewa wizara ambayo angeonyesha impact kubwa kuliko alivyofanya. Tena uzuri ni wizara isiyo na purukushani na wanasiasa wengine.

Again, While January may be charismatic, lakini he has never impressed me as a bold and daring leader (Zaidi ya kuwa mwizi wa kura kuisadia CCM ishinde). Hana uadilifu wa kumfanya awe kiongozi mwenye maono.

Leo anaonekana na maana kidogo kwa sababu tunamlinganisha na wenye akili ndogo akina Bashite nk. Kiufupi ni wale wale tuu! He has nothing new to offer!
Nimekuelewa sana
 
I beg to differ!

January hajaitendea haki ile wizara kiukweli. Mfano kila siku DSM inakuwa jangwa. It is dry na wala watu hawana mwamko wa kupanda miti. Angeweza kuwa creative akaanzisha campaign ya kitaifa kila mtu apande miti mitano mitano kila mwezi. na likawa zoezi endelevu. Au akafanya mobilization Dar tukapanda miti majumbani na mabarabarani….... Ofcourse hili swala ni mtambuka lina wagusa wengi (RC/DC/Mayors/madiwani etc). Lakini angeamua angefanya kitu chenye impact kwenye mazingira yetu. Angeonyesha njia.

Personally, naamini January alipewa wizara ambayo angeonyesha impact kubwa kuliko alivyofanya. Tena uzuri ni wizara isiyo na purukushani na wanasiasa wengine.

Again, While January may be charismatic, lakini he has never impressed me as a bold and daring leader (Zaidi ya kuwa mwizi wa kura kuisadia CCM ishinde). Hana uadilifu wa kumfanya awe kiongozi mwenye maono.

Leo anaonekana na maana kidogo kwa sababu tunamlinganisha na wenye akili ndogo akina Bashite nk. Kiufupi ni wale wale tuu! He has nothing new to offer!
Kwani makamba ni waziri wa Dar??


Dar si kuna mkurugenzi, wakuu wa wilaya na mkoa .. Wana mipango gani na mkoa wao kutokuwa jangwa...
 
Mbona sisi tuwajibga hivyo, kila nchi inapiga vita mifuko ya plastic, wafanyi biashara wanapewa muda wa kujiandaa, kama hawautumii hio muda vizuri na wanakuja na mbinu za ufitinishi, lazima wachikuliwe hatua.

Pua tusisahau, mifuko ya karatasi au kutumia magazeti inaweza kuwa ajira kwa kina mama na watoto wa shule, kujipatia pocket money.
 
Makamba alipoteuliwa Waziri ofisi ya Makamu wa Rais tuliamini amepotezwa kwenye siasa, ila mdogomdogo akavumilia chini ya ushauri wa baba yake pamoja na mzee wa msoga na sasa naamini anatamani asitolewe kwenye ile Wizara.

Ameonyesha njia pasipo na njia, kutoka kuwa ofisi ya kukata utepe na kuzindua miradi hadi kuifanya ofisi kuwa sehemu ya mijadala kuhusu kesho ya Taifa letu hasa katika mazingira.

Nimwombe aangalie na achukue taadhari kwenye agenda ya mifuko ya plastiki maana wasiomtakia mema na wenye wivu wanasubiri atoe katazo la mifuko ya plastiki ndipo waje wasitishe katazo hilo kwani ni wazi bado mifuko mbadala hakuna. Ajiwekee mkakati wa muda mrefu naamini atafanikiwa ila akikimbilia kutafuta legacy mikakati yake itafukiwa ardhini na ataambulia fedhea......usajili wa simu
Exactly kabisa.

Mimi kwa ushauri wangu, nadhani kuhusu mifuko ya plastic hakuna haja ya kutoa katazo kwa watumiaji.

Kinachoweza kufanyika ni kukaa chini na wazalishaji wa mifuko hiyo, wabuni mifuko mbadala kulingana na aina ya matumizi kwa kuzingatia hali halisi ya maisha kwa kila kundi halafu baada ya hapo wawape space ya ku supply stock waliyonayo ambapo baada ya hiyo stock kuwa supplied itakayofuata itakuwa ni ya hiyo mifuko mbadala.

Jambo kama hili likifanyika hakuna haja ya matangazo na mikwara ya kulipishana faini kwa msambazaji na mtumiaji kwasababu mifuko hiyo itaondoka yenyewe sokoni.

Hapa jicho la wizara linatakiwa liwe kwa wazalishaji zaidi kuliko watumiaji maana wao ndo wanayoileta sokoni.

Wawape nafasi ya kumaliza waliyokwisha izalisha au wawape fidia ili iteketezwe kisha baada ya hapo wazalishe na kusambaza mifuko iliyokubalika, baada ya muda hakutakuwa na mifuko ya plastic uraiani

Lifanyike kwa umakini pasipo kurudia makosa yaliyotokea wakati wa pombe za viroba ambalo lilisababisha hadi watu kujiua kisa madeni kwa sababu hawakupewa muda wa kumaliza au kufudiwa kilichokuwa kimekwisha zalishwa na huenda hakingeweza kuisha ndani ya muda waliopewa.

Watakao zalisha baada ya stock waliyokuwa nayo kuisha au kufidiwa, sio tu watozwe faini bali wafilisiwe ili kutoa fundisho kwa wengine kwamba serikali haichezewi sharubu
 
Exactly kabisa.

Mimi kwa ushauri wangu, nadhani kuhusu mifuko ya plastic hakuna haja ya kutoa katazo kwa watumiaji.

Kinachoweza kufanyika ni kukaa chini na wazalishaji wa mifuko hiyo, wabuni mifuko mbadala kulingana na aina ya matumizi kwa kuzingatia hali halisi ya maisha kwa kila kundi halafu baada ya hapo wawape space ya ku supply stock waliyonayo ambapo baada ya hiyo stock kuwa supplied itakayofuata itakuwa ni ya hiyo mifuko mbadala.

Jambo kama hili likifanyika hakuna haja ya matangazo na mikwara ya kulipishana faini kwa msambazaji na mtumiaji kwasababu mifuko hiyo itaondoka yenyewe sokoni.

Hapa jicho la wizara linatakiwa liwe kwa wazalishaji zaidi kuliko watumiaji maana wao ndo wanayoileta sokoni.

Wawape nafasi ya kumaliza waliyokwisha izalisha au wawape fidia ili iteketezwe kisha baada ya hapo wazalishe na kusambaza mifuko iliyokubalika, baada ya muda hakutakuwa na mifuko ya plastic uraiani

Lifanyike kwa umakini pasipo kurudia makosa yaliyotokea wakati wa pombe za viroba ambalo lilisababisha hadi watu kujiua kisa madeni kwa sababu hawakupewa muda wa kumaliza au kufudiwa kilichokuwa kimekwisha zalishwa na huenda hakingeweza kuisha ndani ya muda waliopewa.

Watakao zalisha baada ya stock waliyokuwa nayo kuisha au kufidiwa, sio tu watozwe faini bali wafilisiwe ili kutoa fundisho kwa wengine kwamba serikali haichezewi sharubu

Mkuu sijui umeingia mjini mwaka gani. Hili katazo si la kwanza. Nakumbuka mara ya kwanza hili katazo lilitolewa kama sikosei 2001 na Makamu wa Rais Dr. Omar Ali Juma (nisahihishwe kama nimekosea). Kwa hiyo siyo kitu kigeni. Sema tuu ni ule uvivu wa watanzania kujisahaulisha vitu na kutotekeleza sheria.

Serikali ilitoa mda wa kutosha katika hili. Mkuu I wish ungeelewa madhara ya plastic! ni mbaya mno. Na ukichukulia nchi yetu ilivyo masikini kila kitu kinatupwa baharini na ziwani (jaribu kutembelea kule pugu, vingunguti na madampo mengineyo uone jinsi platic inavyoharibu mazingira na afya zetu).You can imagine viumbe wa baharini na ziwani watakuwa na hali gani miaka michache ijayo.

Kiukweli hili katazo naliunga mkono! I wish lingeanza kutekelezwa jana.
 
Back
Top Bottom