KateMiddleton
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 3,695
- 4,423
Ngoja tuone...time will tell
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo umeteleza, sema wewe ila usiwasemee wengine maana hawajakutumaAssalam aleykum wana JF, bwana Yesu asifiwe! Natumaini mnajiandaa na mapumziko mema ya mwisho wa wiki popote mlipo.
Mimi na Watanzania wenzangu wengi sikuwa na uhakika na uteuzi wa bodi ya TANESCO na mkurugenzi wake. Hata hivyo baada ya kuangalia ya January Makamba akiwatambulisha wanachama wa bodi na mkurugenzi wake nimebadili mawazo. Pia naweza kudiriki kusema January has assembled the best body of directors in Tanzanian history! Let's just say, it looks like a dream team. Hawa watu wametokea kwenye fani tofauti na niwazuri kwenye fani zao. Above all, they are winners. Najua Tanzania ina wasomi wengi lakini hawa watu they are winners, wana historia ya kufanya vitu vikubwa kwenye taasisi walizotokea.
Kitu kingine ambacho kinanifanya niwe optimistic ni kwamba hii bodi itakuwa independent. Hii ina maana itakuwa inafanya maamuzi kwa kutumia weledi na sio kutoka kwa wanasiasa.
Na mwisho, hawa watu tayari wameshashiba. Wamekubali zamana hizo kwa uzalendo wa kutumikia nchi yao na si kwa kingine.
If January manages to pull off on this one, I predict big things ahead of him. May be I'm too optimistic, but time will tell.
Nini maoni yako?
Kuwa na subira, wape muda kidogo wa kufanya kazi kabla hujaanza kulaumu.Nakubaliana na wewe asilimia mia. Na kwa kuonesha umahiri wao na u independent wao, sie wa Kanda Ziwa kesho Jumamosi hatutakuwa na umeme siku nzima! Hongera sana Waziri Makamba! Hongera Bodi ya TANESCO!
Ahahahahahahahaha!Kuwa na subira, wape muda kidogo wa kufanya kazi kabla hujaanza kulaumu.
Akili hizi kwa nchi hii sasa hivi kila kinachofanyika ni msoga tu kwa hiyo hao wengine hawana uwezo wa kufikiri kabisa.Nasikia wote hao ni mkono wa msoga.
Yoooo..its ya boy chawaaaAssalam aleykum wana JF, bwana Yesu asifiwe! Natumaini mnajiandaa na mapumziko mema ya mwisho wa wiki popote mlipo.
Mimi na Watanzania wenzangu wengi sikuwa na uhakika na uteuzi wa bodi ya TANESCO na mkurugenzi wake. Hata hivyo baada ya kuangalia ya January Makamba akiwatambulisha wanachama wa bodi na mkurugenzi wake nimebadili mawazo. Pia naweza kudiriki kusema January has assembled the best body of directors in Tanzanian history! Let's just say, it looks like a dream team. Hawa watu wametokea kwenye fani tofauti na niwazuri kwenye fani zao. Above all, they are winners. Najua Tanzania ina wasomi wengi lakini hawa watu they are winners, wana historia ya kufanya vitu vikubwa kwenye taasisi walizotokea.
Kitu kingine ambacho kinanifanya niwe optimistic ni kwamba hii bodi itakuwa independent. Hii ina maana itakuwa inafanya maamuzi kwa kutumia weledi na sio kutoka kwa wanasiasa.
Na mwisho, hawa watu tayari wameshashiba. Wamekubali zamana hizo kwa uzalendo wa kutumikia nchi yao na si kwa kingine.
If January manages to pull off on this one, I predict big things ahead of him. May be I'm too optimistic, but time will tell.
Nini maoni yako?
Wewe komaa tu hivyo hivyo baada ya mwaka utaona matunda ya uongozi mpya wa TANESCOKinondoni tayari ni giza usiku huu, na joto la Dar niko nje kupata japo kiupepo kwa mbali
Mkuu unawafahamu hao Madirector vizuri?Bro mimi huyu Makamba wala sina nasaba naye ila naongea maoni yangu tu kwa kile nilichokiona
By whose standards????Assalam aleykum wana JF, bwana Yesu asifiwe! Natumaini mnajiandaa na mapumziko mema ya mwisho wa wiki popote mlipo.
Mimi na Watanzania wenzangu wengi sikuwa na uhakika na uteuzi wa bodi ya TANESCO na mkurugenzi wake. Hata hivyo baada ya kuangalia ya January Makamba akiwatambulisha wanachama wa bodi na mkurugenzi wake nimebadili mawazo. Pia naweza kudiriki kusema January has assembled the best body of directors in Tanzanian history! Let's just say, it looks like a dream team. Hawa watu wametokea kwenye fani tofauti na niwazuri kwenye fani zao. Above all, they are winners. Najua Tanzania ina wasomi wengi lakini hawa watu they are winners, wana historia ya kufanya vitu vikubwa kwenye taasisi walizotokea.
Kitu kingine ambacho kinanifanya niwe optimistic ni kwamba hii bodi itakuwa independent. Hii ina maana itakuwa inafanya maamuzi kwa kutumia weledi na sio kutoka kwa wanasiasa.
Na mwisho, hawa watu tayari wameshashiba. Wamekubali zamana hizo kwa uzalendo wa kutumikia nchi yao na si kwa kingine.
If January manages to pull off on this one, I predict big things ahead of him. May be I'm too optimistic, but time will tell.
Nini maoni yako?
Future mavi labda, umeme tu umemshindaMuda mrefu hapa tumesema kuna future ya nchi hii kupitia january makamba siku moja watu watamuelewa
Nani aliyekuambia watu hua wanashiba hela?,mfano JK na team yake anafanya nini kwa sasa kwenye serikali hii kama watu hua wanashiba hela?Assalam aleykum wana JF, bwana Yesu asifiwe! Natumaini mnajiandaa na mapumziko mema ya mwisho wa wiki popote mlipo.
Mimi na Watanzania wenzangu wengi sikuwa na uhakika na uteuzi wa bodi ya TANESCO na mkurugenzi wake. Hata hivyo baada ya kuangalia ya January Makamba akiwatambulisha wanachama wa bodi na mkurugenzi wake nimebadili mawazo. Pia naweza kudiriki kusema January has assembled the best body of directors in Tanzanian history! Let's just say, it looks like a dream team. Hawa watu wametokea kwenye fani tofauti na niwazuri kwenye fani zao. Above all, they are winners. Najua Tanzania ina wasomi wengi lakini hawa watu they are winners, wana historia ya kufanya vitu vikubwa kwenye taasisi walizotokea.
Kitu kingine ambacho kinanifanya niwe optimistic ni kwamba hii bodi itakuwa independent. Hii ina maana itakuwa inafanya maamuzi kwa kutumia weledi na sio kutoka kwa wanasiasa.
Na mwisho, hawa watu tayari wameshashiba. Wamekubali zamana hizo kwa uzalendo wa kutumikia nchi yao na si kwa kingine.
If January manages to pull off on this one, I predict big things ahead of him. May be I'm too optimistic, but time will tell.
Nini maoni yako?