Hongera January Makamba kwenye suala la TANESCO - You have assembled the best body of directors in Tanzanian history

Assalam aleykum wana JF, bwana Yesu asifiwe! Natumaini mnajiandaa na mapumziko mema ya mwisho wa wiki popote mlipo.

Mimi na Watanzania wenzangu wengi sikuwa na uhakika na uteuzi wa bodi ya TANESCO na mkurugenzi wake. Hata hivyo baada ya kuangalia ya January Makamba akiwatambulisha wanachama wa bodi na mkurugenzi wake nimebadili mawazo. Pia naweza kudiriki kusema January has assembled the best body of directors in Tanzanian history! Let's just say, it looks like a dream team. Hawa watu wametokea kwenye fani tofauti na niwazuri kwenye fani zao. Above all, they are winners. Najua Tanzania ina wasomi wengi lakini hawa watu they are winners, wana historia ya kufanya vitu vikubwa kwenye taasisi walizotokea.

Kitu kingine ambacho kinanifanya niwe optimistic ni kwamba hii bodi itakuwa independent. Hii ina maana itakuwa inafanya maamuzi kwa kutumia weledi na sio kutoka kwa wanasiasa.

Na mwisho, hawa watu tayari wameshashiba. Wamekubali zamana hizo kwa uzalendo wa kutumikia nchi yao na si kwa kingine.

If January manages to pull off on this one, I predict big things ahead of him. May be I'm too optimistic, but time will tell.

Nini maoni yako?
Hapo umeteleza, sema wewe ila usiwasemee wengine maana hawajakutuma
 
Nakubaliana na wewe asilimia mia. Na kwa kuonesha umahiri wao na u independent wao, sie wa Kanda Ziwa kesho Jumamosi hatutakuwa na umeme siku nzima! Hongera sana Waziri Makamba! Hongera Bodi ya TANESCO!
Kuwa na subira, wape muda kidogo wa kufanya kazi kabla hujaanza kulaumu.
 
Assalam aleykum wana JF, bwana Yesu asifiwe! Natumaini mnajiandaa na mapumziko mema ya mwisho wa wiki popote mlipo.

Mimi na Watanzania wenzangu wengi sikuwa na uhakika na uteuzi wa bodi ya TANESCO na mkurugenzi wake. Hata hivyo baada ya kuangalia ya January Makamba akiwatambulisha wanachama wa bodi na mkurugenzi wake nimebadili mawazo. Pia naweza kudiriki kusema January has assembled the best body of directors in Tanzanian history! Let's just say, it looks like a dream team. Hawa watu wametokea kwenye fani tofauti na niwazuri kwenye fani zao. Above all, they are winners. Najua Tanzania ina wasomi wengi lakini hawa watu they are winners, wana historia ya kufanya vitu vikubwa kwenye taasisi walizotokea.

Kitu kingine ambacho kinanifanya niwe optimistic ni kwamba hii bodi itakuwa independent. Hii ina maana itakuwa inafanya maamuzi kwa kutumia weledi na sio kutoka kwa wanasiasa.

Na mwisho, hawa watu tayari wameshashiba. Wamekubali zamana hizo kwa uzalendo wa kutumikia nchi yao na si kwa kingine.

If January manages to pull off on this one, I predict big things ahead of him. May be I'm too optimistic, but time will tell.

Nini maoni yako?
Yoooo..its ya boy chawaaa
 
Acha awanyooshe, huyu mshkaji alitakiwa apewe majukumu mawili ayafanyie kazi na awabwage wezi na wasumbufu wa kudai kodi.

Hizi sekta basi tu 😡😡😡 TRA NA TANESCO.
 
Assalam aleykum wana JF, bwana Yesu asifiwe! Natumaini mnajiandaa na mapumziko mema ya mwisho wa wiki popote mlipo.

Mimi na Watanzania wenzangu wengi sikuwa na uhakika na uteuzi wa bodi ya TANESCO na mkurugenzi wake. Hata hivyo baada ya kuangalia ya January Makamba akiwatambulisha wanachama wa bodi na mkurugenzi wake nimebadili mawazo. Pia naweza kudiriki kusema January has assembled the best body of directors in Tanzanian history! Let's just say, it looks like a dream team. Hawa watu wametokea kwenye fani tofauti na niwazuri kwenye fani zao. Above all, they are winners. Najua Tanzania ina wasomi wengi lakini hawa watu they are winners, wana historia ya kufanya vitu vikubwa kwenye taasisi walizotokea.

Kitu kingine ambacho kinanifanya niwe optimistic ni kwamba hii bodi itakuwa independent. Hii ina maana itakuwa inafanya maamuzi kwa kutumia weledi na sio kutoka kwa wanasiasa.

Na mwisho, hawa watu tayari wameshashiba. Wamekubali zamana hizo kwa uzalendo wa kutumikia nchi yao na si kwa kingine.

If January manages to pull off on this one, I predict big things ahead of him. May be I'm too optimistic, but time will tell.

Nini maoni yako?
By whose standards????
 
Assalam aleykum wana JF, bwana Yesu asifiwe! Natumaini mnajiandaa na mapumziko mema ya mwisho wa wiki popote mlipo.

Mimi na Watanzania wenzangu wengi sikuwa na uhakika na uteuzi wa bodi ya TANESCO na mkurugenzi wake. Hata hivyo baada ya kuangalia ya January Makamba akiwatambulisha wanachama wa bodi na mkurugenzi wake nimebadili mawazo. Pia naweza kudiriki kusema January has assembled the best body of directors in Tanzanian history! Let's just say, it looks like a dream team. Hawa watu wametokea kwenye fani tofauti na niwazuri kwenye fani zao. Above all, they are winners. Najua Tanzania ina wasomi wengi lakini hawa watu they are winners, wana historia ya kufanya vitu vikubwa kwenye taasisi walizotokea.

Kitu kingine ambacho kinanifanya niwe optimistic ni kwamba hii bodi itakuwa independent. Hii ina maana itakuwa inafanya maamuzi kwa kutumia weledi na sio kutoka kwa wanasiasa.

Na mwisho, hawa watu tayari wameshashiba. Wamekubali zamana hizo kwa uzalendo wa kutumikia nchi yao na si kwa kingine.

If January manages to pull off on this one, I predict big things ahead of him. May be I'm too optimistic, but time will tell.

Nini maoni yako?
Nani aliyekuambia watu hua wanashiba hela?,mfano JK na team yake anafanya nini kwa sasa kwenye serikali hii kama watu hua wanashiba hela?
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom