Hongera January Makamba kwenye suala la TANESCO - You have assembled the best body of directors in Tanzanian history

James Martin

JF-Expert Member
Apr 2, 2016
1,206
1,509
Assalam aleykum wana JF, bwana Yesu asifiwe! Natumaini mnajiandaa na mapumziko mema ya mwisho wa wiki popote mlipo.

Mimi na Watanzania wenzangu wengi sikuwa na uhakika na uteuzi wa bodi ya TANESCO na mkurugenzi wake. Hata hivyo baada ya kuangalia ya January Makamba akiwatambulisha wanachama wa bodi na mkurugenzi wake nimebadili mawazo. Pia naweza kudiriki kusema January has assembled the best body of directors in Tanzanian history! Let's just say, it looks like a dream team. Hawa watu wametokea kwenye fani tofauti na niwazuri kwenye fani zao. Above all, they are winners. Najua Tanzania ina wasomi wengi lakini hawa watu they are winners, wana historia ya kufanya vitu vikubwa kwenye taasisi walizotokea.

Kitu kingine ambacho kinanifanya niwe optimistic ni kwamba hii bodi itakuwa independent. Hii ina maana itakuwa inafanya maamuzi kwa kutumia weledi na sio kutoka kwa wanasiasa.

Na mwisho, hawa watu tayari wameshashiba. Wamekubali zamana hizo kwa uzalendo wa kutumikia nchi yao na si kwa kingine.

If January manages to pull off on this one, I predict big things ahead of him. May be I'm too optimistic, but time will tell.

Nini maoni yako?
 
Assalam aleykum wana JF, bwana Yesu asifiwe! Natumaini mnajiandaa na mapumziko mema ya mwisho wa wiki popote mlipo.

Mimi na Watanzania wenzangu wengi sikuwa na uhakika na uteuzi wa bodi ya TANESCO na mkurugenzi wake. Hata hivyo baada ya kuangalia ya January Makamba akiwatambulisha wanachama wa bodi na mkurugenzi wake nimebadili mawazo. Pia naweza kudiriki kusema January has assembled the best body of directors in Tanzanian history! Let's just say, it looks like a dream team. Hawa watu wametokea kwenye fani tofauti na niwazuri kwenye fani zao. Above all, they are winners. Najua Tanzania ina wasomi wengi lakini hawa watu they are winners, wana historia ya kufanya vitu vikubwa kwenye taasisi walizotokea.

Kitu kingine ambacho kinanifanya niwe optimistic ni kwamba hii bodi itakuwa independent. Hii ina maana itakuwa inafanya maamuzi kwa kutumia weledi na sio kutoka kwa wanasiasa.

Na mwisho, hawa watu tayari wameshashiba. Wamekubali zamana hizo kwa uzalendo wa kutumikia nchi yao na si kwa kingine.

If January manages to pull off on this one, I predict big things ahead of him. May be I'm too optimistic, but time will tell.

Nini maoni yako

Mkuu

Watoto wa kitaa wanasema umeongea

ushubwada kwenye kadamnasi.......

Tunajua lengo lenu, hatulali ng'oooo

Perpendicular......

Asante
 
Assalam aleykum wana JF, bwana Yesu asifiwe! Natumaini mnajiandaa na mapumziko mema ya mwisho wa wiki popote mlipo.

Mimi na Watanzania wenzangu wengi sikuwa na uhakika na uteuzi wa bodi ya TANESCO na mkurugenzi wake. Hata hivyo baada ya kuangalia ya January Makamba akiwatambulisha wanachama wa bodi na mkurugenzi wake nimebadili mawazo. Pia naweza kudiriki kusema January has assembled the best body of directors in Tanzanian history! Let's just say, it looks like a dream team. Hawa watu wametokea kwenye fani tofauti na niwazuri kwenye fani zao. Above all, they are winners. Najua Tanzania ina wasomi wengi lakini hawa watu they are winners, wana historia ya kufanya vitu vikubwa kwenye taasisi walizotokea.

Kitu kingine ambacho kinanifanya niwe optimistic ni kwamba hii bodi itakuwa independent. Hii ina maana itakuwa inafanya maamuzi kwa kutumia weledi na sio kutoka kwa wanasiasa.

Na mwisho, hawa watu tayari wameshashiba. Wamekubali zamana hizo kwa uzalendo wa kutumikia nchi yao na si kwa kingine.

If January manages to pull off on this one, I predict big things ahead of him. May be I'm too optimistic, but time will tell.

Nini maoni yako?
Mkuu, nakubaliana na wewe kuhusu historia binafsi ya utendaji wa akina Mafuru, Mchechu et. al. Ni vichwa ambavyo vinaweza kuwa na ushauri mzuri na wenye tija katika kutaka kuiendeleza TANESCO kimkakati.
 
Mkuu, nakubaliana na wewe kuhusu historia binafsi ya utendaji wa akina Mafuru, Mchechu et. al. Ni vichwa ambavyo vinaweza kuwa na ushauri mzuri na wenye tija katika kutaka kuiendeleza TANESCO kimkakati.

Mawazo ya Kawe setilite city yapelekwe Tanesco tutarajie unit moja kuwa 6,666.66. Jenereta zilizo kuwa zimesahaulika na kupigwa mavumbi kwenye majumba ya watu huku mitaani sasa zinafutwa na kupashwa moto. Umeme kukatika mara kwa mara inaanza kuzoeleka kitu ambacho kwa miaka zaidi ya minne tulisha sahau. Umeme ukikatika ilikuwa ni lazima taarifa maalum ya sababu ya kukatwa.
 
Mbona umeme unaendelea kukatikakatika ovyo.
Tatizo la kukatikakatika umeme Tanzania sio Bodi ya Tanesco
Ni tatizo la mfumo wetu mzima wa umeme na sio watu.
Mtabadilisha watu weee ila Kama hamtabadili huu mfumo wa monopolization Kwenye umeme,
Na pia kutegemea umeme wa Maji Sana.
Umeme utaendelea kutakatika katika tu
 
Assalam aleykum wana JF, bwana Yesu asifiwe! Natumaini mnajiandaa na mapumziko mema ya mwisho wa wiki popote mlipo.

Mimi na Watanzania wenzangu wengi sikuwa na uhakika na uteuzi wa bodi ya TANESCO na mkurugenzi wake. Hata hivyo baada ya kuangalia ya January Makamba akiwatambulisha wanachama wa bodi na mkurugenzi wake nimebadili mawazo. Pia naweza kudiriki kusema January has assembled the best body of directors in Tanzanian history! Let's just say, it looks like a dream team. Hawa watu wametokea kwenye fani tofauti na niwazuri kwenye fani zao. Above all, they are winners. Najua Tanzania ina wasomi wengi lakini hawa watu they are winners, wana historia ya kufanya vitu vikubwa kwenye taasisi walizotokea.

Kitu kingine ambacho kinanifanya niwe optimistic ni kwamba hii bodi itakuwa independent. Hii ina maana itakuwa inafanya maamuzi kwa kutumia weledi na sio kutoka kwa wanasiasa.

Na mwisho, hawa watu tayari wameshashiba. Wamekubali zamana hizo kwa uzalendo wa kutumikia nchi yao na si kwa kingine.

If January manages to pull off on this one, I predict big things ahead of him. May be I'm too optimistic, but time will tell.

Nini maoni yako?
Hilo kundi la "wasomi" na "walioshiba" halihusiki moja kwa moja na ufuaji, usambazaji na/au usimamizi wa matumizi na malipo ya umeme.

Rais SSH, kupitia Wizara husika, alipaswa kuunda timu ya wataalam kufanya utafiti kuhusu uendeshaji endelevu wa TANESCO kabla ya kufanya mabadiliko ya Uongozi Wizarani na ndani ya shirika.

Hata vile, kwa kuwa wajumbe wa Bodi wamekwisha kuteuliwa, natumaini kazi yao ya kwanza ni kujua na kutatua matatizo ya uendeshaji wa Shirika
 
Assalam aleykum wana JF, bwana Yesu asifiwe! Natumaini mnajiandaa na mapumziko mema ya mwisho wa wiki popote mlipo.

Mimi na Watanzania wenzangu wengi sikuwa na uhakika na uteuzi wa bodi ya TANESCO na mkurugenzi wake. Hata hivyo baada ya kuangalia ya January Makamba akiwatambulisha wanachama wa bodi na mkurugenzi wake nimebadili mawazo. Pia naweza kudiriki kusema January has assembled the best body of directors in Tanzanian history! Let's just say, it looks like a dream team. Hawa watu wametokea kwenye fani tofauti na niwazuri kwenye fani zao. Above all, they are winners. Najua Tanzania ina wasomi wengi lakini hawa watu they are winners, wana historia ya kufanya vitu vikubwa kwenye taasisi walizotokea.

Kitu kingine ambacho kinanifanya niwe optimistic ni kwamba hii bodi itakuwa independent. Hii ina maana itakuwa inafanya maamuzi kwa kutumia weledi na sio kutoka kwa wanasiasa.

Na mwisho, hawa watu tayari wameshashiba. Wamekubali zamana hizo kwa uzalendo wa kutumikia nchi yao na si kwa kingine.

If January manages to pull off on this one, I predict big things ahead of him. May be I'm too optimistic, but time will tell.

Nini maoni yako?
Nakubaliana na wewe asilimia mia. Na kwa kuonesha umahiri wao na u independent wao, sie wa Kanda Ziwa kesho Jumamosi hatutakuwa na umeme siku nzima! Hongera sana Waziri Makamba! Hongera Bodi ya TANESCO!
 
Nakubaliana na wewe asilimia mia. Na kwa kuonesha umahiri wao na u independent wao, sie wa Kanda Ziwa kesho Jumamosi hatutakuwa na umeme siku nzima! Hongera sana Waziri Makamba! Hongera Bodi ya TANESCO!
Kinondoni tayari ni giza usiku huu, na joto la Dar niko nje kupata japo kiupepo kwa mbali
 
Wewe ni mpuuzi na ki.laza mkubwa! Niliposoma tu neno " Zamana"nikajua huna kitu kichwani! Hujui nini maana ya " Dhamana"unasema Zamana, utajua kweli maana ya Bodi kweli?!
 
Assalam aleykum wana JF, bwana Yesu asifiwe! Natumaini mnajiandaa na mapumziko mema ya mwisho wa wiki popote mlipo.

Mimi na Watanzania wenzangu wengi sikuwa na uhakika na uteuzi wa bodi ya TANESCO na mkurugenzi wake. Hata hivyo baada ya kuangalia ya January Makamba akiwatambulisha wanachama wa bodi na mkurugenzi wake nimebadili mawazo. Pia naweza kudiriki kusema January has assembled the best body of directors in Tanzanian history! Let's just say, it looks like a dream team. Hawa watu wametokea kwenye fani tofauti na niwazuri kwenye fani zao. Above all, they are winners. Najua Tanzania ina wasomi wengi lakini hawa watu they are winners, wana historia ya kufanya vitu vikubwa kwenye taasisi walizotokea.

Kitu kingine ambacho kinanifanya niwe optimistic ni kwamba hii bodi itakuwa independent. Hii ina maana itakuwa inafanya maamuzi kwa kutumia weledi na sio kutoka kwa wanasiasa.

Na mwisho, hawa watu tayari wameshashiba. Wamekubali zamana hizo kwa uzalendo wa kutumikia nchi yao na si kwa kingine.

If January manages to pull off on this one, I predict big things ahead of him. May be I'm too optimistic, but time will tell.

Nini maoni yako?
Dah tuzidi kuishi ili tuone mengi
 
Ninachoamini ni kwamba wale waliotoka walikuwa ni best timu pia. Magufuli aliibui viongozi wasiojulikana na wengi wao walifanya kazi nzuri sana.

Uzuri ni kwamba wateuli wengi sasa hivi watakuwa wanafanya kazi kwa morali ya kutaka kufunika wale waliopita, na ikitokea wakafanya chini ya kiwango wananchi watawahukumu kwa kuwa watakuwa wanafanya comparison, hivyo hawatasita kuwakosoa na kuja kuwaadhibu kwenye uchaguzi.

Pamoja na kwamba wengi wanaonekana kutokuridhishwana huu uteuzi binafsi naona, utakuwa na utendaji chanya kwa kuwa mfano waliiuona kwa waliopita na hata kuondoka kwao hawajaondolewa kwa kashfa, hivyo ikiwa enzi za Kalemani umeme ulitulia na haukukatikakatika hovyo, sidhani kama January atakubali hili swala litokee chini ya utawala wake.
 
Muda mrefu hapa tumesema kuna future ya nchi hii kupitia january makamba siku moja watu watamuelewa
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom