Hongera JamiiForums, Sauti yenu Imefika Wizara ya Elimu kuhusu Watoto kutokufunga Shule Likizo

Naomba kujua kazi ya hao wadhibiti ubora. Katika halmashauri ya Tanga Jiji wapowapotu hawajulikani kwa walimu,hawafiki mashuleni,hawafuatilii miradi ya ujenzi.
Wadhibiti ubora Tanga waondolewe wakapangiwe vipindi kwanza kuna uhaba wa walimu
 
Naomba kujua kazi ya hao wadhibiti ubora. Katika halmashauri ya Tanga Jiji wapowapotu hawajulikani kwa walimu,hawafiki mashuleni,hawafuatilii miradi ya ujenzi.
Wadhibiti ubora Tanga waondolewe wakapangiwe vipindi kwanza kuna uhaba wa walimu
Hahahahaha unawasagia kunguni
 
Mimi nimelipishwa 15000 KWA wiki tatu za likizo, wiki ya nne watakuwa nyumbani. Wanaingia saa mbili asubuhi wanatoka saa sita mchana. Wazazi tulikubaliana suala hili kupitia kikao rasmi . Suala hili Linasaidia sana kwani mtoto anapata muda wa kusoma nusu siku na kuendelea na mapumziko na sio siku nzima anazurula tu au anakaa kucheza PS 5.
Mtoto apumzike hayo mengine yote Ni kumchosha tu .

Kukaa darasani sio kazi rahisi

Pia walimu wanahitaji kupumzika kufundisha sio kazi rahisi
 
Bado Kuna hili la watoto kukaa darasani masaa yote toka SAA 2 asubuhi hadi saa 9:30 Alasiri hakuna kucheza hadi siku ya JUMATANO tu.Hivi hawajui athari yake? Au wanajitoa ufahamu TU!
 
Huyo mvula jamaaa ana screenshots zake zote na by then jamaa alihack namba za mkewe jamaa huwezi jua kama hio ishu anayo kichwani, anaendelea na maisha yake anasema anasubiria muda sahihi na sehemu sahihi
Mwambie Jamaa ako hivi "if seeking for revenge dig two graves ,one for yourself"
 
Ila walimu watu wa ajabu sana, badala wale likizo yao, wao ni kujiongezea siku za kufundisha tu.
Wengi huwa wanapangiwa sio kuwa wanapenda

Mkurugenzi wa shule atawalzamisha wafundishe likizo shule ipae kitaaluma wapate ujiko .

Au afisa elimu atawalazimisha wafundishe ili wilaya yake ipae kitaaluma ale ujiko mkoani au wizarani .
 
Sio mke wangu mke wa mwanetu, lengo ilikuwa kumjulisha na wadau zake namna ya kumfikia imeshajulikana

Unanunua ugomvi wa mwanao? Be careful, kuwa na mipaka. Usiingilie saaaana mambo binafsi ya watu hata kama ninyi ni marafiki. Kuwa na kiasi, ni hayo tu.
 
Je hiyo barua wameandikiwa hata shule za serikali? Maana shule kadhaa zimeamua kuchukua mkondo wa shule binafsi.
Mamlaka zinapambana kufuta 0 na daraja la IV ili hali banda ya kuhitimu zinaandaa 0 za kudumu, hata kwa waliopata daraja la I
 
Hata hii ya ukosefu wa ajira na vijana kukosa ubunifu, ukiangalia kwa kina imrchangiwa na huu utaratibu haramu wa kusoma siku nzima, mwaka mzima.
Nikiwa primary kuna wanafunzi walikuwa wabovu darasani, ila walikuwa wajasiriamali wazuri sana kama kuuza matunda, kupika na kuuza maandazi, n.k. Kwa sasa watoto hawapati muda wa kukifunza ujuzi wowote. Wanalazimishwa kutafuta thamani ya X.
Hata mzazi hapati muda wa kumrisisha mtoto misingi halisi ya maisha ya familiar kama kilimo, uvuvi, ufugaji, n.k.
 
Naomba kujua kazi ya hao wadhibiti ubora. Katika halmashauri ya Tanga Jiji wapowapotu hawajulikani kwa walimu,hawafiki mashuleni,hawafuatilii miradi ya ujenzi.
Wadhibiti ubora Tanga waondolewe wakapangiwe vipindi kwanza kuna uhaba wa walimu
Hivi Tanga kuna Nini!? Mbona kila sector inalalamikiwa!? Wahusika pls ebu tupieni jicho hapo Tanga,kabla hakujawaka Moto, maana tunaona kuna Moshi wafukuta huko!!
 
Unanunua ugomvi wa mwanao? Be careful, kuwa na mipaka. Usiingilie saaaana mambo binafsi ya watu hata kama ninyi ni marafiki. Kuwa na kiasi, ni hayo tu.
Tuna screenshots zake aliomba hadi atumiwe kisimi cha mke wa jamaa. Na hilo ni onyo au angalizo au ushauri? Na msingi wako ni nini hasa, mtayarishe kwa utayari yapo mengi chini ya carpet, naishia hapa kuhusu huyu Mathis I Mvula.
 
Wengi huwa wanapangiwa sio kuwa wanapenda

Mkurugenzi wa shule atawalzamisha wafundishe likizo shule ipae kitaaluma wapate ujiko .

Au afisa elimu atawalazimisha wafundishe ili wilaya yake ipae kitaaluma ale ujiko mkoani au wizarani .

Hii kitu inahitaji high level intervention.Mtoto anasoma non stop almost mwaka mzima.Sidhani kama elimi ni ngumu kiasi hiki.Akirudi nyumbani hata muda wa kukaa naye hakuna maana ana mahomework kibao
 
Hata hii ya ukosefu wa ajira na vijana kukosa ubunifu, ukiangalia kwa kina imrchangiwa na huu utaratibu haramu wa kusoma siku nzima, mwaka mzima.
Nikiwa primary kuna wanafunzi walikuwa wabovu darasani, ila walikuwa wajasiriamali wazuri sana kama kuuza matunda, kupika na kuuza maandazi, n.k. Kwa sasa watoto hawapati muda wa kukifunza ujuzi wowote. Wanalazimishwa kutafuta thamani ya X.
Hata mzazi hapati muda wa kumrisisha mtoto misingi halisi ya maisha ya familiar kama kilimo, uvuvi, ufugaji, n.k.
Upo sahihi kabisa. Hakuna muda wa kumfundisha kitu kingine zaidi ya kukariri tu. Akimaliza darasa la saba anaunga pre-form one. Akimaliza form form anaunga pre-form five. Ni pre-university tu imekosekana
 
Wadau huyu Mathias I Mvula anamawasiliano ya kimapenzi na mke wa rafiki yangu tunamtafuta kwa yeyote aliepo Dodoma tafadhari mpaka alishawahi pigiwa simu kuonywa na bado akaendelea yakihitajika na mengine tutayafikisha kwawaziri husika huyu mwanamke yupo morogoro shule za manispaa, aliwahi kumfundisha Ilonga chuo cha walimu kilosa. Popote ulipo Mathias I Mvula ujipange haswaa kwa hilo.
Kakuharibia dili nini mwalimu. Usimkasirikie . Anatimiza wajibu wake kitaalamu !!
 
Back
Top Bottom