Elections 2010 Hongera Jamii Forums & Moderators

Nyambala

JF-Expert Member
Oct 10, 2007
4,465
1,170
Hongereni wanaJF wote na moderators kwa kushiriki kikamilifu katika zoezi zima la uchaguzi kwa namna yeyote ile. I am sure JF has been influential and effective katika huu uchaguzi zaidi hata ya our main stream media sometimes.

Mods nawapongeza sana kwa kuhakikisha forum yetu tuipendayo kuwa live by almost 99.8% of the time katika kipindi hiki cha uchaguzi na with completely no hiccups kwenye wiki ya mwisho ya kampeni mpaka matokeo. Jambo ambalo si rahisi with a forum of our size.

We have done our part and will keep doing it. Sasa tusonge mbele.

By the way napenda kuchangia $50 ili kazi iendelee. Invisible tuwasiliane

All the best to everyone.
 
Mkuu Nyambala tunashukuru pia kwa support ya members ambao wamekuwa wakituarifu juu ya posts zisizokuwa za kiungwana na mods kuzifanyia kazi haraka.

Aidha, tunawashukuru LHRC, TACCEO, HakiElimu, Hivos, SODNET na wadau wote ambao tulishirikiana bega kwa bega katika kuhakikisha tovuti ya Uchaguzi Tanzania inakuwa hewani muda wote na inafikisha ujumbe haraka kwa wadau bila upendeleo. Aidha, tunawashukuru kwa kuitambua JF kuwa sehemu credible na kukubali kushirikiana nasi kama Election Observers.

Shukrani sana kwa members ambao mmekuwa mkitoa maoni yenu kiungwana, na hata wale ambao mlivumilia pindi comments zenu zilipoondolewa aidha bila maelezo au kwa maelezo ambayo huenda hamkufurahishwa nayo.

Ahsanteni sana kwa niaba ya wenzangu wote
 
Mkuu Nyambala tunashukuru pia kwa support ya members ambao wamekuwa wakituarifu juu ya posts zisizokuwa za kiungwana na mods kuzifanyia kazi haraka.

Aidha, tunawashukuru LHRC, TACCEO, HakiElimu, Hivos, SODNET na wadau wote ambao tulishirikiana bega kwa bega katika kuhakikisha tovuti ya Uchaguzi Tanzania inakuwa hewani muda wote na inafikisha ujumbe haraka kwa wadau bila upendeleo. Aidha, tunawashukuru kwa kuitambua JF kuwa sehemu credible na kukubali kushirikiana nasi kama Election Observers.

Shukrani sana kwa members ambao mmekuwa mkitoa maoni yenu kiungwana, na hata wale ambao mlivumilia pindi comments zenu zilipoondolewa aidha bila maelezo au kwa maelezo ambayo huenda hamkufurahishwa nayo.

Ahsanteni sana kwa niaba ya wenzangu wote

All the best wakuu!
 
Back
Top Bottom