jebs2002
JF-Expert Member
- Sep 3, 2008
- 8,814
- 7,589
Bado yale ya kukariri mkuu, sijaelewa kwanini mpaka leo hatuziachii akili zetu zitufanye kuwa wabunifu! Akili ni mali, ukiibana, ukiifunga basi utaonekana huna jipya, jiachie, brainstorm, buni, acha akili ikusaidie kwenye lolote ufanyalo, elimu ni ufunguo tu wa maisha, hata uwe na Doctorate, kama hutaiacha akili ifikirie zaidi ya yale unayofanya ni kazi bure tu..