Msarendo JF-Expert Member Jan 29, 2011 10,475 6,428 Apr 1, 2011 #1 endeleza libeneke pande hizo za obama kama kawa.
aye JF-Expert Member Oct 6, 2010 2,102 708 Apr 1, 2011 #2 nnawasiwasi na taarifa hizo hasa leo ilikuwa tar 1 april foolish day
Msarendo JF-Expert Member Jan 29, 2011 10,475 6,428 Apr 1, 2011 Thread starter #3 habari za kweli kaka...amepata shavu hilo baada ya kumrithi juma nkamia ambaye ni mbunge wa kondoa hivi sasa
habari za kweli kaka...amepata shavu hilo baada ya kumrithi juma nkamia ambaye ni mbunge wa kondoa hivi sasa
only83 JF-Expert Member Oct 15, 2010 5,343 2,525 Apr 1, 2011 #4 Msarendo said: endeleza libeneke pande hizo za obama kama kawa. Click to expand... Mkuu mbona unauzi sana.....nimechukua muda wangu kufungua hii thread kumbe ni upuuzi mtupu... Kwanza ujaeleza ni kazi gani kapata huko USA Pili unaonekana ni mtu usiyetaka kutumia kiswahili sanifu......mfano libeneke..pande za Obama what is this? Rubbish...
Msarendo said: endeleza libeneke pande hizo za obama kama kawa. Click to expand... Mkuu mbona unauzi sana.....nimechukua muda wangu kufungua hii thread kumbe ni upuuzi mtupu... Kwanza ujaeleza ni kazi gani kapata huko USA Pili unaonekana ni mtu usiyetaka kutumia kiswahili sanifu......mfano libeneke..pande za Obama what is this? Rubbish...
S shosti JF-Expert Member Dec 21, 2010 4,906 1,504 Apr 1, 2011 #5 jamani sio mambo ya upuuzi wa tar 1,kama kweli hongera Ankali kwa shavu.
X-PASTER JF-Expert Member Feb 12, 2007 11,610 1,809 Apr 1, 2011 #6 Ankal aula! ahamia voice of america jijini washington DC, Marekani, apangwa kuripoti toka White House...
Ankal aula! ahamia voice of america jijini washington DC, Marekani, apangwa kuripoti toka White House...
Dena Amsi R I P Aug 17, 2010 13,082 4,260 Apr 2, 2011 #7 Hebu malizia story bana ndo nini sasa hiyo sijaelewa kabisa
BabaDesi JF-Expert Member Jun 30, 2007 6,033 3,944 Apr 8, 2011 #9 ..Thibitisheni hii Story. Ama yalikuwa mambo ya April Fool? (mwenyewe!)