Abuu Kauthar
JF-Expert Member
- Jul 10, 2011
- 3,950
- 5,692
Habari za jioni Kamarada
Kwanza kabisa napenda kumpongeza kamanda Sirro kwa kazi kubwa aliyoifanya ndani ya mda mfupi lakini ameweza kuzima jaribio ovu la kutaka kutuchafulia amani yetu hasa siai watu wa pwani.
Siwezi sema kama amemaliza kabisa tatizo ila kwa sisi tunaojua mbinu aliyotumia ni mbinu za kisasa zaidi na bora maana tangu umeutwaa uIGP hali inaelekea kurudi katika kawaida yake.
Ombi langu endelea na jitihada hizo kuturudishia amani yetu ambayo wapo waliokuwa wanatusema eti kwa kuwa mkoa ni wa pwani basi itakuwa ni magaidi ya Kiislam ndio yanayoua watu kumbe ishu zilikuwa na siasa ndani yake.
Na wale walikuwa au ni majambazi tu na wauaji kama walivyo wauaji wengine
Asante Sirro, asante Serikali.
Kwanza kabisa napenda kumpongeza kamanda Sirro kwa kazi kubwa aliyoifanya ndani ya mda mfupi lakini ameweza kuzima jaribio ovu la kutaka kutuchafulia amani yetu hasa siai watu wa pwani.
Siwezi sema kama amemaliza kabisa tatizo ila kwa sisi tunaojua mbinu aliyotumia ni mbinu za kisasa zaidi na bora maana tangu umeutwaa uIGP hali inaelekea kurudi katika kawaida yake.
Ombi langu endelea na jitihada hizo kuturudishia amani yetu ambayo wapo waliokuwa wanatusema eti kwa kuwa mkoa ni wa pwani basi itakuwa ni magaidi ya Kiislam ndio yanayoua watu kumbe ishu zilikuwa na siasa ndani yake.
Na wale walikuwa au ni majambazi tu na wauaji kama walivyo wauaji wengine
Asante Sirro, asante Serikali.