kivyako
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 14,341
- 12,045
Kuna usiyempenda upande uleee?Na misi press conf. zake kwa kweli.
Akiitisha mnitonye jamani, naoenda anavyoongea na kujibu maswali pia.
Kuna usiyempenda upande uleee?Na misi press conf. zake kwa kweli.
Akiitisha mnitonye jamani, naoenda anavyoongea na kujibu maswali pia.
Jamani msiiponze JF yetu, Mawio tayari lipo lupango.tupo,, tunajipanga kuja kumkata kidevu IGP, RPC, ocd na dc wake wote hao wapo kwenye list
Mbona tumeambiwa jeshi limeenda kibiti kuimarisha ulinzi ? Sasa hapa mkweli nani ? Ww unayesema Sirro au hao waliotuambia jeshi ?Habari za jioni Kamarada
Kwanza kabisa napenda kumpongeza kamanda Sirro kwa kazi kubwa aliyoifanya ndani ya mda mfupi lakini ameweza kuzima jaribio ovu la kutaka kutuchafulia amani yetu hasa siai watu wa pwani.
Siwezi sema kama amemaliza kabisa tatizo ila kwa sisi tunaojua mbinu aliyotumia ni mbinu za kisasa zaidi na bora maana tangu umeutwaa uIGP hali inaelekea kurudi katika kawaida yake.
Ombi langu endelea na jitihada hizo kuturudishia amani yetu ambayo wapo waliokuwa wanatusema eti kwa kuwa mkoa ni wa pwani basi itakuwa ni magaidi ya Kiislam ndio yanayoua watu kumbe ishu zilikuwa na siasa ndani yake.
Na wale walikuwa au ni majambazi tu na wauaji kama walivyo wauaji wengine
Asante Sirro, asante Serikali.
Habari za jioni Kamarada
Kwanza kabisa napenda kumpongeza kamanda Sirro kwa kazi kubwa aliyoifanya ndani ya mda mfupi lakini ameweza kuzima jaribio ovu la kutaka kutuchafulia amani yetu hasa siai watu wa pwani.
Siwezi sema kama amemaliza kabisa tatizo ila kwa sisi tunaojua mbinu aliyotumia ni mbinu za kisasa zaidi na bora maana tangu umeutwaa uIGP hali inaelekea kurudi katika kawaida yake.
Ombi langu endelea na jitihada hizo kuturudishia amani yetu ambayo wapo waliokuwa wanatusema eti kwa kuwa mkoa ni wa pwani basi itakuwa ni magaidi ya Kiislam ndio yanayoua watu kumbe ishu zilikuwa na siasa ndani yake.
Na wale walikuwa au ni majambazi tu na wauaji kama walivyo wauaji wengine
Asante Sirro, asante Serikali.
Naona mmeamua kumjaza ujinga kamanda wetu.Aliyesema mauaji yameisha nani?au ndio viherehere