siku ya jumapili 27/05/2012,wanasua wamepata jembe jipya mwanaharakati wa ukweli IDD,IDD.F.ni rais kijana kuwahi kutokea sua,anachukua education mwaka wa 2,ni mpiganaji wa ukweli hivyo wanasua wanategemea mabadiliko makubwa kutoka kwake pamoja na makamu wake NDAGA DICKSON wa wildlife mwaka 2,sasa tupo tunasherekea ushindi kampasi ya mazimbu,heko IDD,IDD.F.leta mabadiliko ya kweli kwa wasuaso