Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,368
- 217,411
Ni Matumaini ya kila mmoja kwamba utatekeleza vema na tena bila woga mipango yote ya Bavicha Temeke .
Mungu akutangulie .
Si kila mtu aweza kununuliwaTengeneza jina hapo mchangani ukionekana utasajiliwa ulaya tena kwa bei kubwa fuata nyayo za kina DC dom
Namkumbuka R.I.P akwi...ni/naSura yake utadhani ana undugu na Ndungai..
HONGERA KAMANDA
Mkuu JF haianiki wananaotumia ID fakeHumu anatumia jina gani ili tuipime michango yake?
Mbona Menina,Wolper na Wema ni mifano ya wenye sura laini lakini hawajaolewa?Ana sura ngumu kama kameza golori! Ndio maana hajaolewa hadi leo
Kwani bei gani?Si kila mtu aweza kununuliwa
Hivi ni kwanini masikini wengi wanawaza ndoa tu ?Ana sura ngumu kama kameza golori! Ndio maana hajaolewa hadi leo
Umasikni wa akili ndio chanzo cha ukabila wakoHuyu Dada nilimshauri aachane na siasa za chadema ,ajenge maisha ahamie ccm ,afate nyayo za kina patrobas katambi , anajifanya anamtetea sana mbowe
Miaka nenda rudi , viti maalumu wanapewa wachaga na wapare , Yeye wanamsahau . , wanamwambia agombee nafasi hizi ambazo hazina hata posho.
Ana sura ngumu kama kameza golori! Ndio maana hajaolewa hadi leo
Humu anatumia jina gani ili tuipime michango yake?
Huyu Dada nilimshauri aachane na siasa za chadema ,ajenge maisha ahamie ccm ,afate nyayo za kina patrobas katambi , anajifanya anamtetea sana mbowe
Miaka nenda rudi , viti maalumu wanapewa wachaga na wapare , Yeye wanamsahau . , wanamwambia agombee nafasi hizi ambazo hazina hata posho.
Huyu Dada nilimshauri aachane na siasa za chadema ,ajenge maisha ahamie ccm ,afate nyayo za kina patrobas katambi , anajifanya anamtetea sana mbowe
Miaka nenda rudi , viti maalumu wanapewa wachaga na wapare , Yeye wanamsahau . , wanamwambia agombee nafasi hizi ambazo hazina hata posho.