Hongera Harmonize kwa hii nyimbo (Matatizo)

ESPRESSO COFFEE

JF-Expert Member
Sep 6, 2014
6,170
7,660
Kiukweli Diamond ataendelea kukumbukwa kwa kumfikisha Harmonize hapa alipo fika! Kwa hii nyimbo yake mpya inayo itwa Matatizo ni dhahiri kadhamilia katika mziki! Kama kuna mtu anaweza kuiweka hapa aiweke ila ni nyimbo nzuri sana kwa soko letu la bongo! Ni vizuri kuimba vitu tofauti vinavyo mgusa kila mmoja wetu katika maisha yetu!

Naona pia kategua kitebdawili cha nani atakuwa wakwanza kushot video katika daraja la Mwalimu Nyerere

Hongera Harmonize
 
Nyimbo ni nzuri sana lajini najiuliza mbona WCB wanamwaga nyimbo nyingi Sana? Haipiti miezi miwili,ngoma mpya inaachiwa. Ile ya Papa Wemba na Platinums sidhani hata kama Ina wiki tatu,wanaachia na hii. Ila anyway,labda management yao inaona mbali.

Link ya wimbo wa matatizo ulioimbwa na Harmonize chini ya Label ya WCB hii hapa.
 
Daaa bonge moja la wimbo inakufanya usijione kua ww pekeako ndo unashida katika hii dunia imenigusa sana na kunipa ari ya kupambana na changamoto pongezi kwake
 
Nyimbo ni nzuri sana lajini najiuliza mbona WCB wanamwaga nyimbo nyingi Sana? Haipiti miezi miwili,ngoma mpya inaachiwa. Ile ya Papa Wemba na Platinums sidhani hata kama Ina wiki tatu,wanaachia na hii. Ila anyway,labda management yao inaona mbali.

Link ya wimbo wa matatizo ulioimbwa na Harmonize chini ya Label ya WCB hii hapa.

Kwani ya Papa wemba Diamond ndo kaachia??
 
11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom