Jay_the_analyst
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 206
- 151
Happy birthday
Happy birthday to you all.
Who told u?The first family of Tanzanian's hearts.
Unasubiriwa kwa hamu hapa Dar.The first family of Tanzanian's hearts.
mmmh team magufuli leo kimyaaa! ngoja nipiteNdugu wana JF.
Awali ya yote nitoe pole nyingi sana kwenu kwa mahangaiko ya shughuli nyingi za kusaka rizki.
Wengi wetu tunajua leo hii ni siku ya kuzaliwa kwa mzee wetu kipenzi cha watz wengi Mh. Ngoyai Edward Lowasa. Kwa wale wapenzi , washabiki,marafiki pamoja na ndugu naomba tutumie uzi huu kumtakia kila la heri katika siku yake hii ya kuzaliwa .
Heshima yake ni kubwa katika jamii ya kitanzania,mchango wake kwa Taifa pia unaonekana.
Kama umeona inakuuma kusema "HAPPY BIRTHDAY " Kaa mbali na huu uzi.
Hatutaki longo longo zingine hapa.
Kuna wengine chuki zimewakaa mpaka kwenye nywele.
Moods naomba muulinde huu uzi.
View attachment 388105
UtajijuuuuuuWho told u?
What can I say? My president 2020Hongereni sana Mhe. Edward Lowassa na Fred Lowassa Kwa siku yenu ya Kuzaliwa Mungu awazidishie Maisha Marefu na Mema na Afya Njema. AMEN
View attachment 388036
Ndio ni mwanae. Nilikuwa nakutana nae miaka ile kwenye hideouts za kujisomea kwa ajili ya form six finals, alikuwa Mzizima, PCM, buttoned down, clean cut, laser focused, very mild mannered just like his father, and very very brilliant, academically at least, we went our separate ways after that, I don't know what became of him, but he wasn't cut out for politics for sure, just too aloof, not Ridhiwani Kikwete type.Fred lowasa ni mwanae au?
alikua handsomeHongereni sana Mhe. Edward Lowassa na Fred Lowassa Kwa siku yenu ya Kuzaliwa Mungu awazidishie Maisha Marefu na Mema na Afya Njema. AMEN
View attachment 388036
Wewe umetumwa au umerogwa. Haitatokea hata siku moja ujinga huo unaoutakaThe first family of Tanzanian's hearts.