Mkuu yule binti alisaidiwa ajira na UKAWA au ndio imekula kwake? Mida hii anauza nanilii ktk vioteli uchwara? Tupe mrejesho.Tatizo liko hapa, unakumbuka ni nani alikua nyuma ya ule mbpango wake? Mbona alipokuja kuulizwa kwamba alionana na watu wa chama tawala hakukana? Unakumbuka yule binti mfanyakazi hotelini alipoteza kibarua kwa sababu gani? Unaposhabikia kitu jaribu kuwa objective.
Nani ameonyesha ukomavu wa kisiasa kama Dr. Slaa kwenye siasa za vyama vingi Tanzania ya leo?
Amejitofautisha sana na wanasiasa uchwara wa bongo. Mungu akubariki sana huko uliko na akuzidishie sana tena sana. Wewe peke yako mpaka sasa ndo umedhihiri kuwa ulikuwa mwanasiasa wa kweli uliyekuwa ukisimamia kweli na haki. Hawa uliowaacha wengi wao ni akina pangu pakavu tia mchuzi.
Wengi wao wameendekeza zaidi umimi, tumbo, fitina, majungu na chuki.
Mtaje nani unayemjua wewe aliye zaidi ya Dr. Slaa?
Hata kama! Mlikosea kumpokea MTU mliyetuambia fisadi na ushahidi mlisema mnao!! Dunia nzima inawashangaa kwa unafiki wenu!!
Mkuu yule binti alisaidiwa ajira na UKAWA au ndio imekula kwake? Mida hii anauza nanilii ktk vioteli uchwara? Tupe mrejesho.
Mkuu yule binti alisaidiwa ajira na UKAWA au ndio imekula kwake? Mida hii anauza nanilii ktk vioteli uchwara? Tupe mrejesho.
Alimkaribisha lowassa,watu wakamuonyesha ramani ya canada kwenye atlas,akamkana lowassa..na hadithi yangu imeishia hapo
Lakini 'matapishi' yale si ndiye aliyeyaleta, au hufahamu hili?Dr Slaa asingekula matapishi yake! Wanafiki ndio hao waliompokea MTU waliyemtangaza fisadi kwa miaka 8 na ghafla wakamuita Malaika!!
ungetumia akili kidogo tu japo 10% ungegundua kwamba kama Dr.Slaa ndiye alimleta huyo mtu wenu basi asingeondoka. Lakini kuondoka ni kutokubaliana na kuletwa kwa huyo mtu wenu!!Lakini 'matapishi' yale si ndiye aliyeyaleta, au hufahamu hili?
Mimi ninafikiri ungetumia japo 0.5% ya akili zako ungebaini kuwa kabla ya kutokukubaliana kulikuwa na mgongano wa mitazamo. Na kwamba kuondoka kwa Dk Slaa haimaanishi kuwa hakuhusika kumleta Lowassa Chadema!ungetumia akili kidogo tu japo 10% ungegundua kwamba kama Dr.Slaa ndiye alimleta huyo mtu wenu basi asingeondoka. Lakini kuondoka ni kutokubaliana na kuletwa kwa huyo mtu wenu!!
Umethibitisha kuwepo kwa migongano ya mitizamo na pia umethibitisha kuondoka kwa Dr. Slaa baada ya migongano hiyo. Hapa unaonesha kwamba huna akili na mpumbavu wa hoja!Mimi ninafikiri ungetumia japo 0.5% ya akili zako ungebaini kuwa kabla ya kutokukubaliana kulikuwa na mgongano wa mitazamo. Na kwamba kuondoka kwa Dk Slaa haimaanishi kuwa hakuhusika kumleta Lowassa Chadema!
Kama ni yeye aliyemleta angeondokaje? Mnadandanywa kirahisi na hao wasaliti wenu waliotangaza ufisadi wa mtu kwa miaka 8 na kisha wanageuka kuwaambieni mtu huyo ni malaika. Walisema wana ushahidi kwa miaka 8 lakini sasa wanataka mtu mwenye ushahidi ampeleke mahakamani huyo mtu! Mnazungushwa kama pia na bado ni wafuasi wa hicho Chama! Poleni sana!Lakini 'matapishi' yale si ndiye aliyeyaleta, au hufahamu hili?
Ulikuwepo nyumbani kwa Dr Slaa au wewe ni Mlinzi wa Dr Slaa? Acha Stori za kwenye kijiwe cha Kahawa ndugu yangu!!Ungemsikiliza vizuri mchungaji Gwajima utajua ni nani aliye engineer suala la Lowassa kuja UKAWA/Chadema; shida moja kubwa ya Lowassa hua sio msemaji sana vinginevyo tungemjua Mr Richmond na hata suala la yeye kuja huku. Hata kama huwezi fikiria vizuri, unashindwa hata ku connect dots!? Kwanini Dr. Slaa alilala kwenye gari pale nyumbani kwake siku ile!?
hata mimi nipo Canada.kwani mtanzania anayeishi cannada ni Siraa peke yake.
Mbona una hasira mzee? Unaikumbuka hoja yako ya msingi au maisha yamekuchanganya unatukasirikia hata tusiohusika?Umethibitisha kuwepo kwa migongano ya mitizamo na pia umethibitisha kuondoka kwa Dr. Slaa baada ya migongano hiyo. Hapa unaonesha kwamba huna akili na mpumbavu wa hoja!
Kupinga alikuwa sawa kabisa, lakini je! hao viongozi wa Republican walompinga Trump walikimbia Marekani au kwa sasa wapo pamoja Marekani wakiwaunganisha wamerekani kwa umoja wao?Ndugu yangu hujamtendea haki kiongozi huyu makini-Dr. Slaa, hakuwa na sababu ya kusimama na kutetea kile anachokiamini hakikuwa sahihi. Hakuwa upande wa CCM ila alisema " ukweli daima una upande".
Angalia uchaguzi wa Marekani kwa mfano; viongozi makini wa REPUBLICAN hawakusita kusimama hadharani kumpinga Rais Mteule Donald Trump. Naye amejua walikuwa na haki ya kumpinga. Na kwa sababu za ukomavu wao kisiasa, sasa wanafanya usuluhishi na maridhiano. Tatizo liko wapi? Dr. Slaa hakuamini kama Mheshimiwa Lowassa angekuwa chaguo sahihi na akaeleza maoni yake hadharani. Huo sio usaliti.