Hongera Dr Mashinji: Unaitendea haki kazi yako

Nduka

JF-Expert Member
Dec 3, 2008
8,552
2,359
Mafanikio makubwa kwa Dr Mashinji ni kuporomoka kwa kiwango cha kukubalika kwa CDM na kupotea kabisa kwa chama hicho kwenye ramani. Utafiti wa Twaweza uliotolewa leo unaonesha kuporomoka kwa chama hicho kutoka asilimia 32 mwaka 2015 hadi asilimia 15 mwaka huu. Mashinji amefanya haya kwa kipindi kifupi mno. Kudos daktari
 
Tupe data zaidi amefanya hayo kivipi?Ametumia njia zipi?Amefanya hayo kwa maslahi ya nani??!!!
 
Ila Mashinji anajitahidi kuwa mkimya, kama mwali vile. Nitaendelea kusema kuwa huyu bwana anapwaya sana. Kuna matukio makubwa yanatokea nchini, lakin inaweza kupita mwezi au miezi hujamsikia. Wabunge wake wanatimuliwa bungeni kwa mwaka mzima, yeye kimya.

Kuna wakati Mbowe anazingua sana. Alifanya makosa sana kumpendekeza huyu bwana. Mashinji anafaa zaidi kwenye ukasisi kuliko siasa.
 
Waacheni CHADEMA na katibu wao, wao ndio wanajua anafanya nini, mambo ya nyumba ya jirani yanakuhusu nini?
 
Mafanikio makubwa kwa Dr Mashinji ni kuporomoka kwa kiwango cha kukubalika kwa CDM na kupotea kabisa kwa chama hicho kwenye ramani. Utafiti wa Twaweza uliotolewa leo unaonesha kuporomoka kwa chama hicho kutoka asilimia 32 mwaka 2015 hadi asilimia 15 mwaka huu. Mashinji amefanya haya kwa kipindi kifupi mno. Kudos daktari
Idadi ya wanaomkubali JPM yashuka kutoka asilimia 96 hadi 71 mwaka huu

Matokeo haya yametolewa leo Alhamisi na Twaweza katika utafiti wake uitwao ‘Matarajio na matokeo; Vipaumbele, utendaji na siasa nchini Tanzania.’
Mkurugenzi Mtendaji wa Twaweza Aidan Eyakuze, amesema:

Soma zaidi: http://www.mwananchi.co.tz/habari/1597578-3971404-s4qtcdz/index.html
 
Hii nchi ya kijinga sana yaani mmezuia mikutano ya siasa ambayo ilikuwa mtaji mkunwa wa vyama kusaka wanachama wapya ma kuwafikishia sera zao mlangoni afu mnawacheka wakiporomoka????? Yaani unamfunga bondia unayepambama naye mikono afu ukimpiga knockout unashangilia!!!

Ruhusuni mikutano tena ndio mje na hizo propaganda zenu mnachosha kwa kweli
 
0729e0c7bf09bff882f99b052ee9ec85.jpg
chama cha wajinga na wezi yani akili ndogo
Kwa ihisani yako ukipata picha ya makalio utakula like mpaka uwe mmiliki wa jeiefu!!!
Picha ya hiyo ccm mpya.
 
Mashindi Hafanani Kuwa Katibu Mkuu,anapwaya Sna Chama Kimekosa Mvuto Na Umaarufu
 
Back
Top Bottom