Mafanikio makubwa kwa Dr Mashinji ni kuporomoka kwa kiwango cha kukubalika kwa CDM na kupotea kabisa kwa chama hicho kwenye ramani. Utafiti wa Twaweza uliotolewa leo unaonesha kuporomoka kwa chama hicho kutoka asilimia 32 mwaka 2015 hadi asilimia 15 mwaka huu. Mashinji amefanya haya kwa kipindi kifupi mno. Kudos daktari
CHADEMA ina watu waelewa ambao waligundua kuwa uanaharakati usingewasaidia zaidi.SLAA alikuwa mwanaharakati na alikuwa tayari kuingia barabarani.Mafanikio makubwa kwa Dr Mashinji ni kuporomoka kwa kiwango cha kukubalika kwa CDM na kupotea kabisa kwa chama hicho kwenye ramani. Utafiti wa Twaweza uliotolewa leo unaonesha kuporomoka kwa chama hicho kutoka asilimia 32 mwaka 2015 hadi asilimia 15 mwaka huu. Mashinji amefanya haya kwa kipindi kifupi mno. Kudos daktari
Mashinji ni mtu wa mkakati na anajua anchofanya na kama huamini rudi katika ngazi za chini ambapo ukiongea na viongozi unagundua kuwa kuna jitihada ya kukijenga chama kuanzia chini.
Chadema inaweza kupoteza wabunge na hata kura za uraisi lakini itakuwa imeanza kujijenga kama taasisi.
Hata hivyo kifo cha CDM ndio furaha ya CCM.