The Giantist
JF-Expert Member
- Dec 12, 2018
- 214
- 86
Na:
McWenceslaus
31/10/2020
Wapinzani sikieni,
Ujumbe mshikeni,
Iloletwa na wageni,
Ndicho chenu kishikeni.
Wambieni Mabeberu,
Na Robert Amstardamu,
Nchi yetu ipo huru,
na CCM ndio Nuru.
Magufuli 5 tena,
Ndio neno lilojema,
Tumaini lipo tena,
Kazi ndio wetu wema.
Haki uhuru na amani,
Ndizo njia zetu ngazi,
Umoja Upendo nchini,
Maendeleo ni yetu hadhi.
Vivaa vijana vivaaa,
Kwa ushindi wa Tanzania,
Kazi kwetu ndio njia,
Maendeleo kujiletea.
Sauti ya Mdodomia
31/10/2020
Dodoma.
McWenceslaus
31/10/2020
Wapinzani sikieni,
Ujumbe mshikeni,
Iloletwa na wageni,
Ndicho chenu kishikeni.
Wambieni Mabeberu,
Na Robert Amstardamu,
Nchi yetu ipo huru,
na CCM ndio Nuru.
Magufuli 5 tena,
Ndio neno lilojema,
Tumaini lipo tena,
Kazi ndio wetu wema.
Haki uhuru na amani,
Ndizo njia zetu ngazi,
Umoja Upendo nchini,
Maendeleo ni yetu hadhi.
Vivaa vijana vivaaa,
Kwa ushindi wa Tanzania,
Kazi kwetu ndio njia,
Maendeleo kujiletea.
Sauti ya Mdodomia
31/10/2020
Dodoma.