Hongera Dkt. Charles Msonde, mbinu ulizotumia katika mitihani hii ya darasa la 7 ni zaidi ya TISS

Tuwekee mbinu zinazotumika lasivyo wewe ni mpiga porojo tu
Mkuu hivi ulishawahi kukutana na product ya Anne Marie au unaongea tu.

Udanganyifu wa pale unafanyika kwa ufundi wa hali ya juu sana. Na unaanzia mbali sana.

Umeshindwa kueleza kwa nini walifungiwa mitihani ya MOCK mkoa na Wilaya.

Hazina nao walikuwa hivihivi mlikuwa mnawatetea sana. Baadaye wakaingia kwenye 18 za NECTA mkafunga midomo.

Hazina walikuwa hivi hivi kama Anne Marie walikuwa wanaongoza kuanzia Wilaya, Mkoa mpaka taifa wanafanya vizuri. Watu tukawambia huwez kuwa na shule yenye creem kids to that extent ( wanasaikolojia, walimu na madaktari wataungana nami ktk hili) mwisho wa siku Hazina akakamatwa na Necta akafungiwa.

Sikia nikwambie mimi nimetafiti sana ile shule kuanzia kwa walimu mpaka kwa watoto na wazazi. Na product zake nazijua vizuri. Kama hujui issue hii kaa kimya otherwise uwe na interest nayo pengine ndo maana unaitetea
 
Wakuu,

Leo watoto wetu wa darasa la saba wamehitimu elimu yao ya msingi kwa kufanya mitihani ya taifa kama ilivyo kawaida chini ya NECTA inayoongozwa na katibu wake Dkt Charles Msonde.

Picha lilianza siku ya jumatatu ambapo iliripotiwa kwamba kuna watu wawili walikamatwa kwa tuhuma za kusambaza mtihani ambao ulitakiwa kufanyika siku ya jumatano na biti kali sana likatolewa dhidi ya wale wote ambao watajihusisha na vitendo vya udanganyifu

Zaidi hii ndio nimeiona ni zaidi ya mbinu za kiTISS, inasemekana kwamba mithani wa somo la kiswahili ulikuwa wa aina mbili
Yaani mkondo A ulifanya mtihani tofauti na mkondo B! Hakika hapa umekusudia kufanya na kubaini jambo fulani la udanganyifu endapo litajitokeza. Hii taarifa nimeipata baada ya kuuliza watoto kutoka shule tofauti na mikondo A na B

Lakini pia naiona NECTA ya Msonde ikijidhatiti zaidi kukomesha udanganyifu katika maswala ya mitihani kwani Msonde alienda mabali zaidi na kuanzisha kamati ya mitihani kwa ngazi ya kila wilaya na mkoa huku zikiongozwa na maafisa elimu, maafisa wa jeshi la polisi na maafisa usalama wa taifa kwa lengo la kuhakikisha usalama wa uandaaji, usambazaji na ufanyikaji wa mitahani hapa nchini katika level mbalimbali

Pia ile hali ya kuchanganya wasimamizi wa Primary na Secondary umetia fora nashauri uendelezwe ili kupunguza mazoea miongoni mwa wasimamizi kitu ambacho hupelekea kuvuja kwa mitihani.

Natumia jukwaa hili kukupongeza Dkt Charles Msonde kwa kazi yako nzuri ndani ya baraza la mitihani la taifa NECTA!
Acha kulisha watu matangopori Yako! Mtihani ulikuwa mmoja TU Kwa mikondo yote Kwa wanafunzi waliosoma mtaala mpya. Mabadiliko uliyoyaona ni Kwa wale wanafunzi walioshondwa kufanya mitihani Yao mwaka jana kutoka a na sababu za kuugua baada ya kusajililiwa hivyo walipewa mitihani ya mtaala wa zamani na Hawa hawakuwa Kila shule bali shule chache mno! Hivyo kuwaaminisha watu kuwa lilikuwa na mitihani tofauti Kwa mikondo ni udanganyifu. Sahihisha kauli zako hizi zisizo na ushahidi!
 
Ahsante kwa maswali yako mazuri mkuu, hii imenipa picha kwamba haupo kwa ubishani ila umelenga kujadili jambo kwa lengo la kupata uelewa.

1. Sio tu kwamba niliamini kwenye ucheleweshwaji bali hata msukosuko ambao ungehusisha hadi wasimamizi wote wa huo mtihani ungeenda mbali sana na kuhusisha waliofanya tukio na ambao hawakufanya. Kwa ufupi lengo langu ilikua sio kutafuta mchawi bali kuona jamaa anasaidika ( kitu ambacho sikuja kufuatilia baadae ni ikiwa matokeo yake yalibadilishwa kwenye cheti)

Ikumbukwe nilimpata kwa mawasiliano siku zikiwa zimeenda sana na sie wengine ilikua tumeshapangiwa shule.
Ushauri wangu wa yeye kwenda shile tuliyofanyia mtihani niliona wao wanaweza kuwa na njia bora ya kutoa ufumbuzi na ingeshindikana, angeenda baraza.

2. Shule yetu ilikua ya Ufundi, hauwezi kusoma Combination nyingine A level zaidi ya PCM au uende FTC enzi hizo DIT, MTC na ATC. Kupata F ya engineering science (Physics) ilitosha kumfanya asiendelee na hatua nyingine ya masomo ya juu.

Kupata F ya hesabu, engineering science au chemistry ilikua ni kosa la jinai. Hauwezi kufaa kwa chochote. Na hatukua tunasoma masomo kama history, biology, useme utaenda combination tofauti na PCM. Kwa yeye kupata F Engineering science safari yake ndio ingeishia hapo vinginevyo ingebidi arudie hilo somo.

3. Hilo sijui nini kilifanyika lakini alipoenda kwenye hiyo shule tuliyofanyia mtihani, akaeleza tatizo lake na kilichotokea, alipewa nafasi ya kidato cha tano. Mimi nilipangiwa shule tofauti A level.

4. Narudia tena, sijui shule walitumia taratibu zipi na walifanyaje ila alipoenda kueleza tatizo lake, aliambiwa a ripoti hapo shule kama mwanafunzi wa kidato cha tano. Naelewa baraza halihusiki na selection ila kumbuka shule ilihusika na uzembe. Nini kilitokea, sijui.

5. Kama nilivyoeleza hapo juu. Shule ya ufundi hatukua na chaguo lingine A level zaidi ya PCM, kwa kupata F asingeweza kuendelea. Na hadi wakati nawasiliana nae alikua tayari hayupo kwenye selection. Naomba kuweka record sawa, nilichofanya ilikua tu kumtaarifu kwamba kwa yale matokeo, nafikiri kuna kitu kimefanyika na nikaelezea nilichohisi na kumshauri aende shule kabla ya kwenda baraza.
Lengo la kwenda shule tuliyofanyia mtihani haikua kupatiwa nafasi kidato cha tano ila ilikua sehemu ya awali kupata msaada wa uchunguzi wa matokeo yake.
Na wakati huo ilikua akili ya kianafunzi bado, ingekua ni sasa hivi ushauri ungekua yeye kukata rufaa baraza moja kwa moja.
Shukran sana.Nimekupata vizuri sana
 
Ahsante kwa maswali yako mazuri mkuu, hii imenipa picha kwamba haupo kwa ubishani ila umelenga kujadili jambo kwa lengo la kupata uelewa.

1. Sio tu kwamba niliamini kwenye ucheleweshwaji bali hata msukosuko ambao ungehusisha hadi wasimamizi wote wa huo mtihani ungeenda mbali sana na kuhusisha waliofanya tukio na ambao hawakufanya. Kwa ufupi lengo langu ilikua sio kutafuta mchawi bali kuona jamaa anasaidika ( kitu ambacho sikuja kufuatilia baadae ni ikiwa matokeo yake yalibadilishwa kwenye cheti)

Ikumbukwe nilimpata kwa mawasiliano siku zikiwa zimeenda sana na sie wengine ilikua tumeshapangiwa shule.
Ushauri wangu wa yeye kwenda shile tuliyofanyia mtihani niliona wao wanaweza kuwa na njia bora ya kutoa ufumbuzi na ingeshindikana, angeenda baraza.

2. Shule yetu ilikua ya Ufundi, hauwezi kusoma Combination nyingine A level zaidi ya PCM au uende FTC enzi hizo DIT, MTC na ATC. Kupata F ya engineering science (Physics) ilitosha kumfanya asiendelee na hatua nyingine ya masomo ya juu.

Kupata F ya hesabu, engineering science au chemistry ilikua ni kosa la jinai. Hauwezi kufaa kwa chochote. Na hatukua tunasoma masomo kama history, biology, useme utaenda combination tofauti na PCM. Kwa yeye kupata F Engineering science safari yake ndio ingeishia hapo vinginevyo ingebidi arudie hilo somo.

3. Hilo sijui nini kilifanyika lakini alipoenda kwenye hiyo shule tuliyofanyia mtihani, akaeleza tatizo lake na kilichotokea, alipewa nafasi ya kidato cha tano. Mimi nilipangiwa shule tofauti A level.

4. Narudia tena, sijui shule walitumia taratibu zipi na walifanyaje ila alipoenda kueleza tatizo lake, aliambiwa a ripoti hapo shule kama mwanafunzi wa kidato cha tano. Naelewa baraza halihusiki na selection ila kumbuka shule ilihusika na uzembe. Nini kilitokea, sijui.

5. Kama nilivyoeleza hapo juu. Shule ya ufundi hatukua na chaguo lingine A level zaidi ya PCM, kwa kupata F asingeweza kuendelea. Na hadi wakati nawasiliana nae alikua tayari hayupo kwenye selection. Naomba kuweka record sawa, nilichofanya ilikua tu kumtaarifu kwamba kwa yale matokeo, nafikiri kuna kitu kimefanyika na nikaelezea nilichohisi na kumshauri aende shule kabla ya kwenda baraza.
Lengo la kwenda shule tuliyofanyia mtihani haikua kupatiwa nafasi kidato cha tano ila ilikua sehemu ya awali kupata msaada wa uchunguzi wa matokeo yake.
Na wakati huo ilikua akili ya kianafunzi bado, ingekua ni sasa hivi ushauri ungekua yeye kukata rufaa baraza moja kwa moja.
Shukran sana.Nimekupata vizuri sana
 
Hapo ndio hua nachoka, akili kubwa inatumika kutatua tatizo dogo...unajiuliza kama mtu ameweza kukaa akapanga huu mpango kabambe wa kimkakati namna hii, anaogopa nini mtihani, hiyo akili akisoma si anajibu bila shida?
Ahahaaa...kuna chama fulani ikifika kipindi cha uchaguzi kinaunda kabsa tume maalumu Ili tu waibe kura...Sasa hyo nguvu ya kuunda tume ingekuwa wanaitumia katka mambo ya maendeleo si wangekuwa mbali sana
 
Hakuna kitu ka hicho... NECTA ndio tatizo. Nasisitiza.
Take note of this.
Necta kazi yao ni kuandaa na kusimamia mitihani ... mafunzo, mitaala , walimu kukosa uaminifu hiyo ni wizara ya elimu na TAMISEMI ..
 
kuna mbinu mmoja zamani shuleni kwetu tulitumia kujibu maswali ya kuchagua A,B,C,D,E.

Tuliongea kama hujui jibu gani uchague unanyooyoosha kidole msimamizi akusomee,mfano hujui swali la 7 utasema naomba unisomee swali la 7,akimaliza anayejua jibu ananyoosha kidole na kusema "naomba nisomee swali la 7 C " hapo jibu ndo C halafu na msimamizi anakusomea.
Aisee...wabongo akili hizi tungekuwa tunazitumia kugundua vitu!
.
 
Kuna jamaa alifanya u FBI form six sitamsahau.

Kuna ile kasumba makaratasi ya kujibia maswali yanawekwa kwenye meza kabla ya watahiniwa kuingia kwenye chumba cha mtihani.

Mnapoingia tu, anachukua karatasi ya kujibia maswali kutoka kwenye meza yeyote. Mkisha tulia karatasi za maswali zinafunguliwa, mnagawiwa, baada ya kama dakika 10 au 15 anaomba ruhusa kwenda msalani, hapo anatoka na karatasi ya maswali na ile ya kujibia akiwa amezificha.

Akifika huko anaziacha, kisha vijana wa kidato cha tano walioko bwenini wanazichukua na wanajibu huku wakitumia rejea za vitabu kwa kuwa hawana ulinzi. Wakimaliza, wanairudisha pale pale maliwatoni.

Jamaa muda ukikaribia kwisha, anaomba ruhusa tena, anaenda kuchukua karatasi yake yenye majibu anakuja kuikusanya.

Alifanya hivyo mitihani yote akaambulia Div 2 ya PCB. Na hapo alikua amepigwa adhabu ya kutokuonekana shule arudi siku ya mtihani tu, hayo ndio mandingo aliyokuja nayo.

Nimesoma hii habari ya NECTA nikajikuta namkumbuka huyo mwamba...
Mwamba alitisha
 
Kuna jamaa alifanya u FBI form six sitamsahau.

Kuna ile kasumba makaratasi ya kujibia maswali yanawekwa kwenye meza kabla ya watahiniwa kuingia kwenye chumba cha mtihani.

Mnapoingia tu, anachukua karatasi ya kujibia maswali kutoka kwenye meza yeyote. Mkisha tulia karatasi za maswali zinafunguliwa, mnagawiwa, baada ya kama dakika 10 au 15 anaomba ruhusa kwenda msalani, hapo anatoka na karatasi ya maswali na ile ya kujibia akiwa amezificha.

Akifika huko anaziacha, kisha vijana wa kidato cha tano walioko bwenini wanazichukua na wanajibu huku wakitumia rejea za vitabu kwa kuwa hawana ulinzi. Wakimaliza, wanairudisha pale pale maliwatoni.

Jamaa muda ukikaribia kwisha, anaomba ruhusa tena, anaenda kuchukua karatasi yake yenye majibu anakuja kuikusanya.

Alifanya hivyo mitihani yote akaambulia Div 2 ya PCB. Na hapo alikua amepigwa adhabu ya kutokuonekana shule arudi siku ya mtihani tu, hayo ndio mandingo aliyokuja nayo.

Nimesoma hii habari ya NECTA nikajikuta namkumbuka huyo mwamba...
Inamaana wasimamizi hawakumshtukia yeye tu kila siku anatoka mara 2 kwenye chumba cha mtihani? Basi ulikuwa mchongo ambao hata wasimamizi waliujua
 
Unaongea vitu pasipo kuwa na uthibitisho

2019 na 2019 Anna Marie ilifanya vizuri tena ilikuwa chini ya usimamizi maalumu kutoka NECTA

Baada ya kelele nyingi kuihitumu Ana marie bila uthibitisho, baraza limekuwa likisiimamie shule hii kiupekee na mwisho wa siku hufanya vizuri

Good academic performance ni maandalizi na ufundishaji tu, shule nyingi zinafikiri wanaofanya vizuri wanaiba mitihani kitu ambacho si kweli na kimedhibitiwa
Mkuu hivi ulishawahi kukutana na product ya Anne Marie au unaongea tu.

Udanganyifu wa pale unafanyika kwa ufundi wa hali ya juu sana. Na unaanzia mbali sana.

Umeshindwa kueleza kwa nini walifungiwa mitihani ya MOCK mkoa na Wilaya.

Hazina nao walikuwa hivihivi mlikuwa mnawatetea sana. Baadaye wakaingia kwenye 18 za NECTA mkafunga midomo.

Hazina walikuwa hivi hivi kama Anne Marie walikuwa wanaongoza kuanzia Wilaya, Mkoa mpaka taifa wanafanya vizuri. Watu tukawambia huwez kuwa na shule yenye creem kids to that extent ( wanasaikolojia, walimu na madaktari wataungana nami ktk hili) mwisho wa siku Hazina akakamatwa na Necta akafungiwa.

Sikia nikwambie mimi nimetafiti sana ile shule kuanzia kwa walimu mpaka kwa watoto na wazazi. Na product zake nazijua vizuri. Kama hujui issue hii kaa kimya otherwise uwe na interest nayo pengine ndo maana unaitetea
Tuwekee mbinu zinazotumika lasivyo wewe ni mpiga porojo tu
Mkuu sio lazima uamini unaweza kubaki na ujinga sako pia maana unabaki kuwa mzigo kwako.

Hazina na Atlas walikuwa hivihivi. Tuliwasema sana nyie mkasema tuna chiki binafsi lkn mambo yalivyobumbuluka mkajifanya kushangaa.

Nchi ina watu wengi wenye uwezo mdogo sana wa kufikiri na bahati mbaya sanawatu hawa wameshikilia nyadhifa za maamuzi
 
Watu wanapinga tuu lakini ukweli ni kwamba kazi inayofanywa na Necta ni kubwa sana kuzuia wizi wa mitihani. Mapungufu yanayoweza kujitokeza ni kidogo sana huwezi linganisha na huko tulipotoka watu walikua wanapata mtihani kabla hata haujafanyika.Heko Charles Msonde
 
Wakuu,

Leo watoto wetu wa darasa la saba wamehitimu elimu yao ya msingi kwa kufanya mitihani ya taifa kama ilivyo kawaida chini ya NECTA inayoongozwa na katibu wake Dkt Charles Msonde.

Picha lilianza siku ya jumatatu ambapo iliripotiwa kwamba kuna watu wawili walikamatwa kwa tuhuma za kusambaza mtihani ambao ulitakiwa kufanyika siku ya jumatano na biti kali sana likatolewa dhidi ya wale wote ambao watajihusisha na vitendo vya udanganyifu

Zaidi hii ndio nimeiona ni zaidi ya mbinu za kiTISS, inasemekana kwamba mithani wa somo la kiswahili ulikuwa wa aina mbili
Yaani mkondo A ulifanya mtihani tofauti na mkondo B! Hakika hapa umekusudia kufanya na kubaini jambo fulani la udanganyifu endapo litajitokeza. Hii taarifa nimeipata baada ya kuuliza watoto kutoka shule tofauti na mikondo A na B

Lakini pia naiona NECTA ya Msonde ikijidhatiti zaidi kukomesha udanganyifu katika maswala ya mitihani kwani Msonde alienda mabali zaidi na kuanzisha kamati ya mitihani kwa ngazi ya kila wilaya na mkoa huku zikiongozwa na maafisa elimu, maafisa wa jeshi la polisi na maafisa usalama wa taifa kwa lengo la kuhakikisha usalama wa uandaaji, usambazaji na ufanyikaji wa mitahani hapa nchini katika level mbalimbali

Pia ile hali ya kuchanganya wasimamizi wa Primary na Secondary umetia fora nashauri uendelezwe ili kupunguza mazoea miongoni mwa wasimamizi kitu ambacho hupelekea kuvuja kwa mitihani.

Natumia jukwaa hili kukupongeza Dkt Charles Msonde kwa kazi yako nzuri ndani ya baraza la mitihani la taifa NECTA!
Mtu anatekeleza jukumu lake alilopewa;
Mtu anatekeleza wajibu wake kulingana na taaluma yake;
Mtu anatimiza wajibu wake sanjari na mahitaji ya jukumu lake:---------------------------------------------


Kuna haja gani ya kuja humu kutiririka misifa as if amegundua rocket
 
Ukweli nmesimamia mtihani wa la saba na katika darasa langu kuna wanafunz walikuwa watoto hvyo nilipata nafasi ya kuchungulia baadhi ya maswali, ukweli mchungu mitihani ya siku ya kwanza ilikua kidogo afadhali lakini mitihani ya siku ya pili ilikua tight sana, na nikilinganisha na mitihani iliyopita huu wa mwaka huu umetungwa yaan kilaza hafaulu labda asaidiwe na mwalimu sio mwanafunzi mwenzake,
Matokeo yakitoka mtashangaa watoto watafeli sana kwa kuwa ni mara ya kwanza mtihani kutungwa kwa mtaala mpya na haujazoeleka kwa walimu na wanafunzi lakn pia maswali yanahitaji kufikiria zaidi kuliko kukariri na mnaweza kushangaa mtihani wa uraia na maadili wanafunz ndio wakafeli sana kuliko hata hisabati
 
1.Utunzi, uchapaji, uhariri, utoaji nakala, usambazaji, semina kwa wasimamizi, kupeleka vituoni kufanya, kupeleka vituoni vya kusahihisha, kusahihisha, kuandaa matokeo na kuyatangaza, watu Wa idara ya usalama wanakuwepo na hujitambulisha hadharani.

unaposema ni zaidi ya tiss unajitambulisha kuwa wewe huijui tiss.



2. kuhusu chumba A kuwa tofauti na B, kama umesoma UDSM hutashangaa. pale tulikuwa tunafanya pepa zaidi ya 10 ndani ya chumba kimoja na ukikuta pepa Z inachanganywa mfuatano wa maswali. pepa hii swali LA 1 kwenye pepa nyingine ni swali LA 7 na nzuri kabisa kama unapaswa kujazia vipengele 5 na lile limakuwa vilevile. ukichabo umekwisha.



hongera kwa necta.


badilini mfumo wenu wa kupata wasahihishaji, asante
Hiyo ya pepa kuchanganywa maswali, mfano la 1 kuwa swali la 7 kwenye pepa nyingine usahishaji wake ulikuaje aisee?? Ikizingatiwa pale nje kwenye booklet ya majibu huwa panatakiwa kuandikwa namba ya swali ulilojibu msahishaji aweke maksi ulizopata...na ndani unaanza kuandika jibu moja kwa moja, hucopy tena swali
 
Back
Top Bottom