Hongera Dkt. Bashiru na Komredi Polepole, Tuandikieni kitabu kama zawadi

Tuweke rekodi sawa,kufuatia kanuni za kutengenisha kofia mbili tayari Magufuli aliwaondoa Polepole na Bashiru katika nafasi zao kwa kuwateua kuwa mbunge ma Katibu Mkuu kiongozi. Technically Magufuli aliwaondoa.
 
Leo ndio ilikuwa mwisho wa unafiki ndani ya CCM. Hongera mama kwa kukata mzizi wa fitna! Nimeamini wewe ni 'mwanamke wa shoka'!
 
Uteuzi wa Katibu Mkuu Mpya na Katibu Mwenezi wa CCM Leo jijini Dodoma kumehitimisha utumishi wa Dkt Bashiru na Komredi Polepole katika Utumishi wa chama cha Mapinduzi.

Utezi wa Dkt. Bashiru na Hamphrey Polepole katika kukiongoza Chama cha Mapinduzi ulirejesha matumaini mapya kwa watanzania kupitia chama hicho tawala.

Utatu wa Dkt. Magufuli, Dkt. Bashiru na Dkt (Katika Mchakato) Polepole uliashiria mabadiliko ya dhati na kukirejesha chama mikononi mwa wananchi.

Mmepitia mengi, mmeona mengi katika utumishi wenu kwenye Chama, mkiyaandika yatakisaidia chama, vyama vingine, Watanzania na Taifa kwa ujumla. Mifano IPO dhahiri kwamba:

Viongozi wa chama katika ngazi zote waliwajibika kwa wananchi na wanachama wa kawaida ili kuwaletea maendeleo.

Utatu huu, ulirejesha nguvu ya mabalozi katika vikao vya maamuzi na nidhamu ya chama ilirejea.

Uongozi katika chama au kuomba ridhaa ya chama haikukuwa tena nguvu ya pesa au unasaba kwa viongozi bali uzalendo, uwajibikaji na utumishi uliotukuka.

Mapato ya chama yalifanyika katika kukiendeleza chama badala ya watu binafsi kuhodhi Mali na miradi ya chama

Mvuto wa chama kwa wananchi uliingezeka hadi wanachama wakaona fahari kuvaa sare za chama hadhani tofauti na kipindi cha 2010-2015 ambapo sare za CCM zilivaliwa kwa uoga, hofu na kificho.

Popote Mwenyekiti, Katibu na Katibu wa Itikati walipokiongelea Chama, walihubiri Umoja, Mshikamano, Uzalendo na Uwajibikaji.

Kazi mliyoifanya katika Chama ni kubwa, ngumu na yenye manufaa kwa Chama, Taifa na Watanzania kwa Ujumla.

Uwajibikaji, Uzalendo na Uchapakazi wenu ulikuwa chukizo kwa wana CCM na watanzania wanaokitumia chama kwa maslahi binafsi
Ni dhahiri kwamba, Kinga yenu ilikuwa ni Mwenyekiti vinginevyo msingeweza kufanikisha mliyokifanyia chama na Taifa.

Hongereni sana kwa kuweka Historia kwa uwajibikaji wenu, ikiwapendeza Mtuandikie Kitabu kwa pamoja, kiwe zawadi na kumbukumbu kwa Chama, wananchi na Taifa vizazi na vizazi.

Ahsanteni kwa Utumishi wenu kwenye Chama, Kazi yenu tumeiona na tumeikubali.
Wewe ni either Polepole ama Bashiru, si mtu mwingine. Kwa utopolo mlioufanya hakuna mtu wa kuandika hivyo.
 
Uteuzi wa Katibu Mkuu Mpya na Katibu Mwenezi wa CCM Leo jijini Dodoma kumehitimisha utumishi wa Dkt Bashiru na Komredi Polepole katika Utumishi wa chama cha Mapinduzi.

Utezi wa Dkt. Bashiru na Hamphrey Polepole katika kukiongoza Chama cha Mapinduzi ulirejesha matumaini mapya kwa watanzania kupitia chama hicho tawala.

Utatu wa Dkt. Magufuli, Dkt. Bashiru na Dkt (Katika Mchakato) Polepole uliashiria mabadiliko ya dhati na kukirejesha chama mikononi mwa wananchi.

Mmepitia mengi, mmeona mengi katika utumishi wenu kwenye Chama, mkiyaandika yatakisaidia chama, vyama vingine, Watanzania na Taifa kwa ujumla. Mifano IPO dhahiri kwamba:

Viongozi wa chama katika ngazi zote waliwajibika kwa wananchi na wanachama wa kawaida ili kuwaletea maendeleo.

Utatu huu, ulirejesha nguvu ya mabalozi katika vikao vya maamuzi na nidhamu ya chama ilirejea.

Uongozi katika chama au kuomba ridhaa ya chama haikukuwa tena nguvu ya pesa au unasaba kwa viongozi bali uzalendo, uwajibikaji na utumishi uliotukuka.

Mapato ya chama yalifanyika katika kukiendeleza chama badala ya watu binafsi kuhodhi Mali na miradi ya chama

Mvuto wa chama kwa wananchi uliingezeka hadi wanachama wakaona fahari kuvaa sare za chama hadhani tofauti na kipindi cha 2010-2015 ambapo sare za CCM zilivaliwa kwa uoga, hofu na kificho.

Popote Mwenyekiti, Katibu na Katibu wa Itikati walipokiongelea Chama, walihubiri Umoja, Mshikamano, Uzalendo na Uwajibikaji.

Kazi mliyoifanya katika Chama ni kubwa, ngumu na yenye manufaa kwa Chama, Taifa na Watanzania kwa Ujumla.

Uwajibikaji, Uzalendo na Uchapakazi wenu ulikuwa chukizo kwa wana CCM na watanzania wanaokitumia chama kwa maslahi binafsi
Ni dhahiri kwamba, Kinga yenu ilikuwa ni Mwenyekiti vinginevyo msingeweza kufanikisha mliyokifanyia chama na Taifa.

Hongereni sana kwa kuweka Historia kwa uwajibikaji wenu, ikiwapendeza Mtuandikie Kitabu kwa pamoja, kiwe zawadi na kumbukumbu kwa Chama, wananchi na Taifa vizazi na vizazi.

Ahsanteni kwa Utumishi wenu kwenye Chama, Kazi yenu tumeiona na tumeikubali.
🤣🤣🤣Dr katika mchakato, imeisha hiyo. Sifu abudu its over now
 
Pole sana na hao wajamaa uchwara wako ambao wametuhari
bia nchi yetu kwa kasi ya ajabu!

Hawa ni wasomi uchwala ambao wamesoma lakini hawakuelimika.

Wanasiasa wanafiki waongowaongo ambao hawaaminiki.

Madikteta ambao wameingia madarakani kwa mlango wa demokrasia halafu wakajaribu kuuziba kwa zege ili usitumike tena.
Ni kweli kabisa, tunawashinda sisi Chadema viongozi wetu hawakusoma, na waliotaka kusoma,kama Mwenyekiti kaishia Zero 'A' level,, Katibu Mkuu College drop out, Naibu Katibu mkuu, form four, Mgombea nafasi ya Makamu wa Rais amesoma sana, yeye ana cheti cha Uandishi wa habari.

Ni bora ieleweke hukusoma lakini unaweza kuchangia mambo kwa ukilaza na bila kupewa lawama sababu shule tulikimbia. Kuliko . . . . . . . .

Usibishane na washabiki ambao wamewachagua viongozi vilaza kuwaongoza kama ni mifano ya wao wenyewe walivyo.
 
Back
Top Bottom