Mbuyimayi
JF-Expert Member
- Jan 24, 2013
- 575
- 1,148
Ukitoa maisha yake binafsi kama ya mahusiano yake na labda mpangilio wa familia yake
Diamond ni kijana anae paswa kupewa hongera na wapambanaji wote bila kujali upo katika kada au shughuli gani ya kiuchumi na kubwa ni kutokukata tamaa, juhudi,timing, kuwa na team imara NK
Hongera sana Mondi
Diamond ni kijana anae paswa kupewa hongera na wapambanaji wote bila kujali upo katika kada au shughuli gani ya kiuchumi na kubwa ni kutokukata tamaa, juhudi,timing, kuwa na team imara NK
Hongera sana Mondi