wandu waruwa
Senior Member
- Dec 20, 2020
- 133
- 96
Wewe kaa kwa kutulia hujui lolote
acha wivu wewe,
Hiyo nomination ya bet ni hatua kubwa mno hata kama asipoipata hiyo tuzo. Wapo nominated wasanii tano tu hapo, unajua wameachwa wangapi????
Eti anaimba matusi, muziki wake mpaka kusikika huko nje kwani wanajua kiswahili hao???
hivi unajua despacito na gangnam style wameimba nini mle????
Muziki ni zaidi ya lyrics acha chuki
Halafu hiyo playlist ya Obama huyo Obama ni mtu kama mimi so nyimbo kuwa kwenye playlist yake kisiwe kigezo.
Kumbuka pia wenzetu wanabebwa na industry yao ambayo imeshakuwa kubwa Afrika tofauti na kwetu so mpongeze kijana otherwise una chuki zako binafsi.