Hongera Diamond na Neyo!!!!!

Freelancer Wakala

JF-Expert Member
Feb 6, 2016
1,193
823
aba5abcf9d800b3d360f6f0596b5db61.jpg
 
Diamond ni balaa na wakubali tu huyu jamaa ni the best in tz na anafikiria kazi yake iwe ya kimataifa zaidi na ndiyo stage aliko kwa sasa wacha wajinga waseme lkn ukweli wanaujua
 
Wafitini ndivyo walivyo Mkuu, badala ya wao kujituma ili wawe na mafanikio makubwa kama ya DP au hata zaidi badala yake wanaanza fitina dhidi ya DP.
 
Kutoka dimpoz achafue hali ya hewa, vijana wa diamond wanaanzisha thread zaidi ya 10 kwa siku hhaahahahahhahaha. Dimpoz aligusapo pabaya
 
Mwaka mzima kiba amepata show moja nje ya Tz,tena baada ya kuchomekwa kama suprise artist Mombasa,baada ya hiyo anasubiri fiesta mwakani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom