HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 69,364
- 94,544
Watu bado wana uelewa mdogo na hawataki jifunzaMkuu, Kwa bahati mbaya kulingana na matakwa ya Youtube hauwezi kutengeneza fedha unayoitegemea kwa kutegemea tu Idadi ya watazamaji ulionao tu.
Watu bado wana uelewa mdogo na hawataki jifunzaMkuu, Kwa bahati mbaya kulingana na matakwa ya Youtube hauwezi kutengeneza fedha unayoitegemea kwa kutegemea tu Idadi ya watazamaji ulionao tu.
Ok Diamond Youtube kaulpload video 650+ hapo akifanyiwa interview anaweka huko, Behind the scene ya video zake, jana wamemsapraizi wasafi media hiyo video kashaweka huko.
Mfano Wizkid ana video 14 to kwenye channel yake na ana views 479+m, sasa imagine angeweka shows, interviews,Behind the scenes zote...video hata mia tu angekua na views wangapi!
KisaUnataka utukanwe
Ukielewa wewe inatosha mkuuKazi kweli kweli,, hivi umeelewa hata maada inahusu nini???
Mkuu Kumbuka kuwa ukiwa na subscribers wengi youtube inakuwa rahisi zaidi kupata views nyingi pia Youtube.Ok Diamond Youtube kaulpload video 650+ hapo akifanyiwa interview anaweka huko, Behind the scene ya video zake, jana wamemsapraizi wasafi media hiyo video kashaweka huko.
Mfano Wizkid ana video 14 to kwenye channel yake na ana views 479+m, sasa imagine angeweka shows, interviews,Behind the scenes zote...video hata mia tu angekua na views wangapi!
Mkuu ujuejuhudi binafsi lazima zitumike kwa ajili ya kuongeza kwa kasi hao Viwers na Subscribe huko Youtube kama upo Serious na kutengeneza pesa YouTube.Sasa twende mwendo wa cross multiplications. Sasa Kama views mil 1= tsh 400000#
Video ya Jeje ina views mil 20 hadi sasa hapo maana yake diamond atapata mil 8 tsh katika video ya jeje. Story za abunuasi zinakuja wapi chief.
Katika hao watu mil 20 waliotazama video ya jeje inabidi waliangalie tangazo litakalowekwa kwenye hiyo video ya jeje bila ku skip tangazo. Sasa mm hapa nimeangalia video bila kuangalia tangazo. Ndio maana watu tunamashaka na youtube wanawaibia wasanii. Pesa kama wanapata wasanii basi ni kidogo sana tofauti na tunavyoaminishwa vijiweni. Mm bado nitaamini mikataba ya ubalozi wa makampuni na show ndio zinawalipa sana wasanii kuliko YouTube
Sawa ila watu nao wanaangalia idadi na kasi ya unavyoupload video ndo wasubscribe kitu ambacho Diamond anakifanya....Nimetolea mfano wa Wizkid kuwa na video chache ila bado ana views wengi...Je angeupload hata nusu tu ya video allizoupload Mond, angekosa views Billion?Mkuu Kumbuka kuwa ukiwa na subscribers wengi youtube inakuwa rahisi zaidi kupata views nyingi pia Youtube.
Nadhani Hao tidal, itune na youtube hawamfikii VEVO, faida ya msanii kuwa VEVO ni kwamba atasaidiwa nyimbo zake kupigwa promo na VEVO wao wenyewe kwa sababu hao wapo kibiashara zaidi wakati YouTube na hao wengine hawafanyi hivyo badala yake msanii anategemea ukubwa wa mashabiki wake yaani (Subscribers). Pia VEVO wanabana uhuru wa msanii wa kuposti videos ambazo sio rasmi kama matamasha yao au hata video za behind The Scene hao wanataka Official Release Videos wakati kwenye mtandao wa YouTube, Tidal, Itunes k msanii anakuwa huru kuposti videos zozote alizorekodi ilimradi zisivunje sheria zilizowekwa na wenye mtandao husika. Na hapa ndio maana kuna baadhi ya wasanii wanaotumia akaunti za VEVO wanalazimika kuwa na akaunti mbili yaani akaunti ya Youtube na VEVO ili wapate uhuru wa kuposti matukio mbalimbali ....... am stand to corrected guys.Msanii bora ni summation ya vitu vingi,hapo umegusa platform moja lkn kuna sportfy,Itunes,Tidal ,apple (Wizkid,Davido)ambazo wanalipa mgwanja mrefu kuliko youtube huko wasanii wa Nigeria ndio wana kimbiza even though hata huko Diamond anafanya vizuri.
Sawa ila watu nao wanaangalia idadi na kasi ya unavyoupload video ndo wasubscribe kitu ambacho Diamond anakifanya....Nimetolea mfano wa Wizkid kuwa na video chache ila bado ana views wengi...Je angeupload hata nusu tu ya video allizoupload Mond, angekosa views Billion?
Brother 😂 🤣 🤣 🤣 🤣 Itunes,Sportfy ,Tidal wanapost video....... ?Nadhani Hao tidal, itune na youtube hawamfikii VEVO, faida ya msanii kuwa VEVO ni kwamba atasaidiwa nyimbo zake kupigwa promo na VEVO wao wenyewe kwa sababu hao wapo kibiashara zaidi wakati YouTube na hao wengine hawafanyi hivyo badala yake msanii anategemea ukubwa wa mashabiki wake yaani (Subscribers). Pia VEVO wanabana uhuru wa msanii wa kuposti videos ambazo sio rasmi kama matamasha yao au hata video za behind The Scene hao wanataka Official Release Videos wakati kwenye mtandao wa YouTube, Tidal, Itunes k msanii anakuwa huru kuposti videos zozote alizorekodi ilimradi zisivunje sheria zilizowekwa na wenye mtandao husika. Na hapa ndio maana kuna baadhi ya wasanii wanaotumia akaunti za VEVO wanalazimika kuwa na akaunti mbili yaani akaunti ya Youtube na VEVO ili wapate uhuru wa kuposti matukio mbalimbali ....... am stand to corrected guys.
Mkuu ebu tusaidiane jambo moja kwamba, kwamba pesa anazopata msanii husika kupitia youtube ni kutokana na matangazo hayo ambayo utatumiwa kutoka google (automatically) , sasa yale matangazo hayo yatakuwa yakionekana katika video zako utakazo kuwa unazipost lakini ili kupata matangazo hayo utatakiwa kukidhi VIGEZO vya Youtube ambavyo ni;Sawa ila watu nao wanaangalia idadi na kasi ya unavyoupload video ndo wasubscribe kitu ambacho Diamond anakifanya....Nimetolea mfano wa Wizkid kuwa na video chache ila bado ana views wengi...Je angeupload hata nusu tu ya video allizoupload Mond, angekosa views Billion?
shida yako wewe umesoma haraka haraka sana ila shukrani kwa ukosoaji wako wenye hekima 🙏Brother 😂 🤣 🤣 🤣 🤣 Itunes,Sportfy ,Tidal wanapost video....... ?
Hivi unajua bila Youtube hamna VEVO.Alafu VEVO ni kitu cha kawaida sana nashangaa mnavyoikuza,VEVO founded na UMG na SONY special kwa ajili ya wasanii waliokuwa chini yao na inategemea na Mkatab wako,Diamond na UMG Mkataba ni wa kusimamia audio ktk streaming platform zote.....ila video anazisimamia mwenyewe.
So hizi Itunes,Boomplay,Tidal,Sportfy hizi special kwa kustream audio na kuuza audio na si video.Huko kuna hela ndefu ndefu kuliko youtube wala VEVO ambayo ipo supported na Youtube.
Mkuu kwanza nikusahishe kidogo, umekosea hesabu.... m=kwa views elf 1 ukilipwa elf 3 ina maana ya kwamba utapokea milioni 30 sio milioni 3. Endelea tu kuwa mbishi mkuu ula ndio facts hizi....Kama ni 3000 kwa views 1000 basi malipo kwa 1mil views ni 3mil ambapo sio rahisi kama tunavyoandika hapa
Mkuu kwanza nikusahishe kidogo, umekosea hesabu.... m=kwa views elf 1 ukilipwa elf 3 ina maana ya kwamba utapokea milioni 30 sio milioni 3. Endelea tu kuwa mbishi mkuu ula ndio facts hizi....
Kuna wengine kwa views zinazokaribia laki 2 wanapata pesa zaidi ya milioni 1 na nusu, hapo kwa views milioni ni zaidi ya milioni 7. Karibu ulimwengu wa utandawazi, Usione kina Diamond na kina Harmonze wanatoa tu vyupa vikali kaadri wanvyojisikia, Pesa ya vyupa zinarudi na chenji kubwa tu ya kununulia harrier inabaki
View attachment 1475398
Youtube hawatoi adds zile adds zinatoka Google Adsense Automatic mkuu. Jmaa hesabu inampa chenga sana mkuu.Hesabu zinakupiga chenga.
Kumbuka milioni ni 1000 mara 1000
Sasa kama 1000 ni 3000 hapo chukua 3000 mara 1000 unapata 3mil na pia youtube si wajinga kihivyo kukupa ads kwa kila view.
Mkuu Youtube uangalia zaidi video iliyotazamwa zaidi kuliko kiasi cha followers au subscribers ulionao kwenye chanel yako ya Youtube. Hivyo basi kama Video zako zinaangaliwa zaidi basi una nafasi kubwa ya kutengeneza fedha nyingi sana youtube hata kama hauna followers wengi.Mkuu kwanza nikusahishe kidogo, umekosea hesabu.... m=kwa views elf 1 ukilipwa elf 3 ina maana ya kwamba utapokea milioni 30 sio milioni 3. Endelea tu kuwa mbishi mkuu ula ndio facts hizi....
Kuna wengine kwa views zinazokaribia laki 2 wanapata pesa zaidi ya milioni 1 na nusu, hapo kwa views milioni ni zaidi ya milioni 7. Karibu ulimwengu wa utandawazi, Usione kina Diamond na kina Harmonze wanatoa tu vyupa vikali kaadri wanvyojisikia, Pesa ya vyupa zinarudi na chenji kubwa tu ya kununulia harrier inabaki
View attachment 1475398
Wote mkuuSamahanini jamani naomba kuuliza. Hivi hapa anaestahili pongezi ni anaeangaliwa au sisi tunaoangalia?
Ni wapi nimeandika kinyume!!!Mkuu Youtube uangalia zaidi video iliyotazamwa zaidi kuliko kiasi cha followers au subscribers ulionao kwenye chanel yako ya Youtube. Hivyo basi kama Video zako zinaangaliwa zaidi basi una nafasi kubwa ya kutengeneza fedha nyingi sana youtube hata kama hauna followers wengi.