digalangosha
JF-Expert Member
- Aug 30, 2013
- 1,554
- 2,265
Katika ukurasa wa msanii diamond platinumz nimeona kaandika kwamba msanii wa hip hop Nikki Mbishi atakuwepo kwenye wasafi festival 2018......
Nikupongeze sana mdogo wangu kwa kukumbuka ulipotokea, nikimaanisha na wewe ulianzia kwenye hip hop kabla yakubana pua....
Hatimaye wapenzi wa hip hop ngumu tutapata wakati wetu sasa. Ukiachilia konk konk konk master ambaye ushamuhakikishia kuwepo kwenye festival......Nyongeza kama itawezekana Diamond chukua na hawa jamaa wafuatao
1. One incredible
2. Songs
3. Wakazi
4. Godzilla (kama katuliza kichwa)
5. Lord eyes
Maana kwenye matamasha ya mawingu tushakalili wasanii wa hip hop ni wale wale kila mwaka yan
Fid q, rostam, joh makini na weusi,
NOTE: Fanya mapinduzi mdogo wangu uoneshe heshima kwa wana hip hop pia, hata kama hawatokulipa lakini heshima utakayoipata kwa mashabiki wako ndio itabaki milele......
Nikupongeze sana mdogo wangu kwa kukumbuka ulipotokea, nikimaanisha na wewe ulianzia kwenye hip hop kabla yakubana pua....
Hatimaye wapenzi wa hip hop ngumu tutapata wakati wetu sasa. Ukiachilia konk konk konk master ambaye ushamuhakikishia kuwepo kwenye festival......Nyongeza kama itawezekana Diamond chukua na hawa jamaa wafuatao
1. One incredible
2. Songs
3. Wakazi
4. Godzilla (kama katuliza kichwa)
5. Lord eyes
Maana kwenye matamasha ya mawingu tushakalili wasanii wa hip hop ni wale wale kila mwaka yan
Fid q, rostam, joh makini na weusi,
NOTE: Fanya mapinduzi mdogo wangu uoneshe heshima kwa wana hip hop pia, hata kama hawatokulipa lakini heshima utakayoipata kwa mashabiki wako ndio itabaki milele......