Kipekee nampa Pongezi Heri James kwa kuteuliwa kuwa DC wa Wilaya ya Ubungo.
Wananchi wa Ubungo wana imani kubwa na wewe haswa kwa uzoefu ulio nao na maono uliyo nao, ulifanya kazi kubwa ulipokuwa Mwenyekiti wa UVCCM.
Wilaya ya Ubungo ni Miongoni mwa wilaya mpya katika Jiji la DSM na Makao yake Makuu yapo maeneo ya Luguruni kata ya Kibamba.
Maeneo ya Jimbo la Kibamba kwa kiasi kikubwa ndio yanashikilia wilaya hiyo mpya lakini maeneo hayo yanachangamoto kubwa ya miundombinu ya barabara.
Mtangulizi wako hakuwa na amshaamsha sana ya maendeleo na hivyo kupelekea wilaya kudorora zaidi.
Maeneo yaliyosahaulika kabisa ni Kibamba, Kiluvya Gogoni, Kiluvya Hondogo n.k, hayo maeneo yana changamoto kubwa ya barabara mbovu.
Hakuna mradi wa DMDP hata mmoja kwenye maeneo hayo shirikiana na mbunge wa Jimbo hilo la kibamba ili kwa pamoja mlete maendeleo kwa wananchi wa maeneo hayo.
Hongera sana Heri Jemsi.
Wananchi wa Ubungo wana imani kubwa na wewe haswa kwa uzoefu ulio nao na maono uliyo nao, ulifanya kazi kubwa ulipokuwa Mwenyekiti wa UVCCM.
Wilaya ya Ubungo ni Miongoni mwa wilaya mpya katika Jiji la DSM na Makao yake Makuu yapo maeneo ya Luguruni kata ya Kibamba.
Maeneo ya Jimbo la Kibamba kwa kiasi kikubwa ndio yanashikilia wilaya hiyo mpya lakini maeneo hayo yanachangamoto kubwa ya miundombinu ya barabara.
Mtangulizi wako hakuwa na amshaamsha sana ya maendeleo na hivyo kupelekea wilaya kudorora zaidi.
Maeneo yaliyosahaulika kabisa ni Kibamba, Kiluvya Gogoni, Kiluvya Hondogo n.k, hayo maeneo yana changamoto kubwa ya barabara mbovu.
Hakuna mradi wa DMDP hata mmoja kwenye maeneo hayo shirikiana na mbunge wa Jimbo hilo la kibamba ili kwa pamoja mlete maendeleo kwa wananchi wa maeneo hayo.
Hongera sana Heri Jemsi.