deo paul555
JF-Expert Member
- Oct 22, 2018
- 1,405
- 520
Habar wadau,muda mrefu kituo hiki kilikua kina onyesha picha zisizo na muonekano mzuri na sauti pia,leo nimeangalia kwakweli niwape pongezi, ushauri nao wapa mngejitahidi vifaa vya kurusha matangazo mboreshe kwani mabadiriko yanaonekana pia magic fm ingesikika angalau kanda zote za nchi ilikunitanua shukran zote kwa uongozi kuanza kutatua changamoto hizo kazi njema.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app