Wakuu,
inatakiwa niseme ukweli maana nikiwa mzaliwa wa kijiji hiki nimefurahishwa sana na ushindi wa CDM kwa sababu kuu zifuatazo:
1. Kata ya Ipole ikuwa ngome kuu ya CCM katika jimbo la Sikonge ikifuatiwa na CUF tangu mwaka 1995 na ccm imelishika jimbo hili tangu uhuru.
2. Hakukuwa na Tawi lolote la CDM katika kata hii hadi April 2012 ambalo lilikuwa rasmi
3. Katika uchaguzi mkuu uliopita CDM haikusimamisha mgombea wa udiwani na hata mgombe wa Urais upitia CDM (Dr Slaa)
alifahamika na watu wachache sana kwenye kata hii.
4. CDM imefahamika sasa na vijana wengi bado wanazijadili sera za CDM kulinganisha na CCM ambazo hazitekelezeki - CDM imeacha gumzo na hata baadhi ya wazee wameshabadilisha misimamao yao
Kwa nini CCM wameshindwa:
CCM wameshindwa kwa sababu kuu moja tu wamewasahau vijana wa kata hii ambao wengi wanaishi maisha magumu sana, Mbunge wa Jimbo hili hajawahi kufanya mikutano na vijana na hana mikakati yoyote iliyo wazi ya kuwakomboa kutokana na wimbi la umaskini. na hii ndiyo weak point ya kufanya M4C ipenyeze.
Sasa hiyo ndiyo ilikuwa adhabu kwa CCM - na adhabu hii ndiyo itakayofanyika na kwingine kote katika jimbo hili: - Ni vigumu mno mno mnyamwezi kukubali mabadiliko sasa ikifikia hatua hiyo basi think twice:
Ombi kwa CDM:
CDM imedhihirisha kwamba Tabora si tena Ngome kuu ya CCM na kwa kutumia Diwani ambaye ni kijana (Motivated) basi mnaweza kuanza kujijenga mkitumia IPOLE kama ngome kuu. Hongera sana wapiganaji wetu na hongera kwa CDM taifa kufika hadi kwetu maana sasa tunajiona ni sehemu ya M4C.
Nawapongeza sana makamanda, ingawa mlishuhudia maisha duni ya wananchi waliokata tamaa hasa vijana na kina mama, miundombinu duni; huduma za afya, barabara; maji ni balaa tupu; ni hapo hapo kijijini IPOLE ambapo alizaliwa mpiganaji mwingine KasangaTumbo Christopher (RIP)kwa wale mnaokumbuka historia.
inatakiwa niseme ukweli maana nikiwa mzaliwa wa kijiji hiki nimefurahishwa sana na ushindi wa CDM kwa sababu kuu zifuatazo:
1. Kata ya Ipole ikuwa ngome kuu ya CCM katika jimbo la Sikonge ikifuatiwa na CUF tangu mwaka 1995 na ccm imelishika jimbo hili tangu uhuru.
2. Hakukuwa na Tawi lolote la CDM katika kata hii hadi April 2012 ambalo lilikuwa rasmi
3. Katika uchaguzi mkuu uliopita CDM haikusimamisha mgombea wa udiwani na hata mgombe wa Urais upitia CDM (Dr Slaa)
alifahamika na watu wachache sana kwenye kata hii.
4. CDM imefahamika sasa na vijana wengi bado wanazijadili sera za CDM kulinganisha na CCM ambazo hazitekelezeki - CDM imeacha gumzo na hata baadhi ya wazee wameshabadilisha misimamao yao
Kwa nini CCM wameshindwa:
CCM wameshindwa kwa sababu kuu moja tu wamewasahau vijana wa kata hii ambao wengi wanaishi maisha magumu sana, Mbunge wa Jimbo hili hajawahi kufanya mikutano na vijana na hana mikakati yoyote iliyo wazi ya kuwakomboa kutokana na wimbi la umaskini. na hii ndiyo weak point ya kufanya M4C ipenyeze.
Sasa hiyo ndiyo ilikuwa adhabu kwa CCM - na adhabu hii ndiyo itakayofanyika na kwingine kote katika jimbo hili: - Ni vigumu mno mno mnyamwezi kukubali mabadiliko sasa ikifikia hatua hiyo basi think twice:
Ombi kwa CDM:
CDM imedhihirisha kwamba Tabora si tena Ngome kuu ya CCM na kwa kutumia Diwani ambaye ni kijana (Motivated) basi mnaweza kuanza kujijenga mkitumia IPOLE kama ngome kuu. Hongera sana wapiganaji wetu na hongera kwa CDM taifa kufika hadi kwetu maana sasa tunajiona ni sehemu ya M4C.
Nawapongeza sana makamanda, ingawa mlishuhudia maisha duni ya wananchi waliokata tamaa hasa vijana na kina mama, miundombinu duni; huduma za afya, barabara; maji ni balaa tupu; ni hapo hapo kijijini IPOLE ambapo alizaliwa mpiganaji mwingine KasangaTumbo Christopher (RIP)kwa wale mnaokumbuka historia.