Izack Mwanahapa
JF-Expert Member
- Apr 21, 2011
- 497
- 235
Hongereni sana viongozi na wanachama wote mliojishughulisha kwenye uchaguzi mkuu katika jimbo la igunga. CDM imepata kura nyingi (Iwe zimechakachuliwa au la) , Ccm imepata ushindi mwembamba japokuwa wamemiliki jimbo hilo kwa miaka 18. Msife moyo tuendelee kupigana
kwani utawala wa CCM unaelekea ukingoni.
kwani utawala wa CCM unaelekea ukingoni.