Serikali ya wakoloni ilijenga reli ya Dar Arusha.
Serikali ya CCM ikaua hii reli, baadae serikali ya CCM ikaifufua hii reli kwa manufaa yake halafu watu wanajitoa ufahamu wanaipongeza.
Ni Kama mtu akichafua shati lako, Kisha akalifua. Sijui Kama utampongeza.......
Serikali ya CCM ikaua hii reli, baadae serikali ya CCM ikaifufua hii reli kwa manufaa yake halafu watu wanajitoa ufahamu wanaipongeza.
Ni Kama mtu akichafua shati lako, Kisha akalifua. Sijui Kama utampongeza.......