Emil Mwangwa
Senior Member
- May 9, 2011
- 124
- 24
[h=5]Salaam Wanabodi,
Bryson Mwansimba aliyekuwa kaimu Katibu wa CHADEMA wilaya ya Chunya kabla ya kujiuzuru mwaka huu,leo amehamia CCM.Kulikuwa na tetesi za muda mrefu za yeye kutimkia CCM ambazo amekuwa akizikanusha lakini leo yametimia.Nimefanya nae kazi kwa karibu tangu alipoteuliwa kukaimu uongozi wa wilaya CHDEMA.Namfahamu vilivyo.Kabla ya yeye kujiondoa katika nafasi yake alikuwa na shutuma nyingi za matumizi mabaya ya mali za Chama vikiwamo vifaa na pesa za michango mbalimbali.Wanachama wengi na wadau mbalimbali wamekuwa wakimlalamikia kwa muda mrefu kukusanya michango kwa lengo la kujenga Chama lakini hazifiki katika malengo husika.Aliitwa na Katibu mkuu kwa mahojiano Mbeya lakini aligoma na kuamua kujiuzuru kwa kuhofia kuchukuliwa hatua za kisheria.
CCM hamuwezi kujitapa kwamba mmepata Jembe.Nyie ni watu wa kuchukua reject na mnaziona kama dhahabu,huu ni zaidi ya Uzuzu.Ni mwendeleo uleule wa uzembe na Upuuzi.Hii ndio CCM halisi.Kwa kuwa CCM ni Chama Cha Majangili na wezi wa mali ya umma basi kila fisadi CCM ni nyumbani.Kwa niaba ya WanaChadema Wengi napenda kutoa Shukrani za dhati kutokana na kitendo cha Ndg.Mwansimba kurudi nyumbani kwao kuendeleza malengo yao.Nashukuru kwa wote waliosaidia kuondoka haraka maana ametuchelewesha sana.Binafsi Sitajuta wala kusikitika,jioni hii nitakuwa na hafla fupi ya kujipongeza kwa kuwa nyangau moja limetupunguzia mzigo.Kila la heri Bryson ambaye ulianza Ukatibu hata jina lako Ukishindwa kuandika,nilikusaidia nikakufundisha kuandika,lakini kwa kuwa ndani yako kulikuwa na moyo wa Unafiki leo umeonyesha rangi yako halisi.Nakutakia maisha marefu na 2015 ikukute ukiwa mzima wa afya.
Tutakutana Jukwaani.
Emil.[/h]
Bryson Mwansimba aliyekuwa kaimu Katibu wa CHADEMA wilaya ya Chunya kabla ya kujiuzuru mwaka huu,leo amehamia CCM.Kulikuwa na tetesi za muda mrefu za yeye kutimkia CCM ambazo amekuwa akizikanusha lakini leo yametimia.Nimefanya nae kazi kwa karibu tangu alipoteuliwa kukaimu uongozi wa wilaya CHDEMA.Namfahamu vilivyo.Kabla ya yeye kujiondoa katika nafasi yake alikuwa na shutuma nyingi za matumizi mabaya ya mali za Chama vikiwamo vifaa na pesa za michango mbalimbali.Wanachama wengi na wadau mbalimbali wamekuwa wakimlalamikia kwa muda mrefu kukusanya michango kwa lengo la kujenga Chama lakini hazifiki katika malengo husika.Aliitwa na Katibu mkuu kwa mahojiano Mbeya lakini aligoma na kuamua kujiuzuru kwa kuhofia kuchukuliwa hatua za kisheria.
CCM hamuwezi kujitapa kwamba mmepata Jembe.Nyie ni watu wa kuchukua reject na mnaziona kama dhahabu,huu ni zaidi ya Uzuzu.Ni mwendeleo uleule wa uzembe na Upuuzi.Hii ndio CCM halisi.Kwa kuwa CCM ni Chama Cha Majangili na wezi wa mali ya umma basi kila fisadi CCM ni nyumbani.Kwa niaba ya WanaChadema Wengi napenda kutoa Shukrani za dhati kutokana na kitendo cha Ndg.Mwansimba kurudi nyumbani kwao kuendeleza malengo yao.Nashukuru kwa wote waliosaidia kuondoka haraka maana ametuchelewesha sana.Binafsi Sitajuta wala kusikitika,jioni hii nitakuwa na hafla fupi ya kujipongeza kwa kuwa nyangau moja limetupunguzia mzigo.Kila la heri Bryson ambaye ulianza Ukatibu hata jina lako Ukishindwa kuandika,nilikusaidia nikakufundisha kuandika,lakini kwa kuwa ndani yako kulikuwa na moyo wa Unafiki leo umeonyesha rangi yako halisi.Nakutakia maisha marefu na 2015 ikukute ukiwa mzima wa afya.
Tutakutana Jukwaani.
Emil.[/h]