Hongera BALILE

Game Theory

Platinum Member
Sep 5, 2006
8,545
835
Ndugu yetu na mwanaharakati mwenzetu bwana BALILE hatimaye amegraduate jamani tumpeni hongera anazostahili lakini pia tusisahau kuwa the same BALILE aliwahi kuandika makala ambayo haikueleweka vilivyo na baada ya kubanwa aje kujieleza ile thread ilihamishwa

anyway kwa wale ambao mnataka kujikumbusha basi gonga hapa:
Balile Acha Kujipendekeza Kwa Membe - JamiiForums.com

be advised thread is almost 70 posts long...


Mhariri wa Mtanzania, Deodatus Balile, akiwa ameshika cheti chake cha Shahada ya Uzamili bada ya kula nondozz za Uongozi wa Biashara (MSc Business Management) nje ya Ukumbi wa Middleton katika Chuo Kikuu cha Hull nchini Uingereza. Sherehe za kuhitimu zilifanyika Alhamis ya Januari 24, 2008. asante mdau Ansbert Ngurumo kwa picha na hongera balile kwa nondozzz hizo. karibu homu uendeleze libeneke..
IMGP0224.jpg


BERNARD MEMBE will be so proud!
 
Hongera Balile,
Lakini kwa kuwa umeshanunuliwa na vyombo vya habari vya RA sina uhakika kama hiyo Elimu yako itawasaidia wanyonge.
 
Lakini sasa lile swali kuwa BALILE anakula huku na huku bado halijajibiwa sasa mwenyewe kama yupo humu basi aje kujitetea
 
Hongera kwa nondo.. naamini zitakuwa zimekuongezea uelewa na freedom of mind hivyo hutakuwa tayali kuwa compromised na few fisadis...
 
Hongera Balile, by the way hivi Mwenyekiti Mbowe yeye Graduation yake lini? only asking.......
 
Kwa experience yangu, waandishi wengi wa habari wakikamata nondo kama hizi wanaacha kabisa na uandishi wa habari na kuingia kwenye fani nyingine, time will tell.
 
Back
Top Bottom