Kambi ya Fisi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,444
- 21,894
Ukienda kusali huku umevaa mavazi ya kikahaba ama kishoga utakomea getini tu ktk hili kanisa, Binafsi nawapongeza viongozi wa hii parokia kwa kuweka utaratibu huu ambao nimeupenda.
Team vigodoro hahahaa kwa nabii Bulldozer kunawafaa zaidi, ila kwa huyu baba paroko mpite mbali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Team vigodoro hahahaa kwa nabii Bulldozer kunawafaa zaidi, ila kwa huyu baba paroko mpite mbali.
Sent using Jamii Forums mobile app