Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,201
- 42,060
Nachukua nafasi hii kumpongeza AY kwa kutwaa tuzo kwani ni wasanii wengi walishiriki lakini hawajafanikiwa na pia wakali zaidi yake. Nafikiri pia ni wapongeze watanzania kwa kumpigia kura za kutosha msanii huyo na zilizo pelekea kutwaa tuzo hiyo.
Ni vyema watanzania tukaendelea kuwapa support wasanii wetu wa nyumbani kama wanavyo fanya nchi za wenzetu na kusaidia kuitangaza nchi yetu kimataifa kupitia muziki.
Akiwa msanii pekee kutoka Tanzania (East Africa) aliyenyakuwa tuzo ya Channel O Music Video Award kwa mwaka huu 2012 katika kipengele cha MOST GIFTED AFRICAN EAST VIDEO OF THE YEAR. Video iliyochukuwa tuzo hiyo ni( I DON'T WANT TO BE ALONE) akiwa amewashirikisha wasanii kutoka Nairobi maarufu kama Sauti Sol.
H0ngera sana AY
Hongereni watanzania.
Source: Mpekuzi.com
:bange::bange::bange::bange::bange::bange::bange::bange::bange::bange::bange::bange::bange::bange::bange::bange::bange::bange::bange::bange::bange::bange::bange: