Honda crossroad, ushauri

Supermind

JF-Expert Member
Apr 22, 2018
259
243
Wanajamvi, hii gari naipenda mpaka naumwa. Maana inaitwa Honda Crossroad a.k.a SMALL HAMMER. Naombeni ushauri wakuu kabla sijaingia mkenge. Ndo nataka nimiliki gari kwa mara ya kwanza. So, naipenda sana hio gari kimuonekano. Vip kuhusu spare zake, uimara, confotability, inshort nahitaji details zake kiujumla.

Nasubiri kwa hamu ushauri wenu.
BG574263_61c98f.jpeg
BG574263_dee8dc.jpeg
BG569117_3b99bf.jpeg
BG569117_1631db.jpeg
BG569117_1d0e88.jpeg
BG541182_455eae.jpeg
 
da...watu wamenyuti kama hawauoni huu uzi...mm nimekuja hapa nataka pia niagize hii gar

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu wabongo Sisi ni waoga kuanzia wauzaji spare parts na wamiliki ndiyo maana wengi wetu tumelogwa na Toyota tu.
Hii gari kila mtu ataipenda Kwa muonekano wake isipokuwa Kwenye spares, kuhusu uimara ni gari imara kama umejipanga vizuri unaweza kuagiza tu
 
Vuta mkoko hiyo gari ni tamu sana,acha kutishwa na wajinga ati haina spea,ni wakati sasa wa sisi wa TZ kuendesha magari mazuri,chukua mchuma huo Kenya na Uganda kila kitu unapata
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom