Honda CR-V: Shipa lisilovuma!

Kama una hela za mawazo nakushauri usijichanganye ukanunua Honda CR-V utajuta. Nilinunua kwenye mnada Morogoro - Kilimo linanitesa kuliko maelezo. Nimekaribu kuliuza kupitia madalali, nikifika picha hakuna anayejibu.
*** Nawataadharisha maana huko mitandaoni Bei inavutia Ila ukijichanganya usije kusema hukuambiwa

View attachment 1950104
Hii gari nimeikuta jana usiku jamaa kafungua bonnet mahali ishamchemsha! Honda tutumie pikipiki tu kibongo bongo
 
Malizole Ntobela - Youth Representative

jembenijembe_1632722943363.jpg
 
Tatizo matunxo halafu unakuja kufungua uzi eti HONDA C-RV zinasumbua ,huo ni uwongo ,tena mkubwa hakuna brand imra nzuri ,na matunzo yake ni kiduchu sana compare na Toyota Rava 4 ,

Mmezoea kudanganyana pitia bac hata forum mbalimbali soma uone watu walivyotoa credit ,wazungu hawana ubabaishaji sio kama manazi wa Toyota wa Jf

Honda ndio mpango mzima ,honda fit ,honda CRV,Honda ondensy , narudia onda zidumu milele

sent from HUAWEI

Vp kuhusu honda crossroad mzee
 
Vp kuhusu honda crossroad mzee
Honda ni brand iliyotengenzwa kwa ajili ya maskini ,maskini hawazitaki wamebaki kukariri ,matajiri wa bahiri wanazikimbilia ,moja ya brand inayofanya vizuri soko la America na ulaya ni honda kwa ujumla

Honda cross road ni gari nzuri imetengenezwa kwa vertion mbili ,JDM na soko la nje

Usifanye kosa kununua honda cross road kutoka singapore ........nyingi hazijafanyiwa recondition

Ni muhimu sana kununua kupitia soko la japan hautaijutia hata siku moja ,kuanzia muonekano ,power ,fuel consuption

sent from HUAWEI
 
Magari yote yanayoitwa yanasumbua ni kwasababu ya kukosa mafundi sahihi na uhaba wa spare zake.

Tz au Afrika mafundi wengi ni wa Toyota na spare za toyota zimejaa madukani.

Labda Kagame atatutoa kimasomaso na mradi wake wa Volks Wagen.
Tz tanzania si africa. Mafund wa kibongo hawatak kujiongeza kuifaham gari za kisasa.
 
Bro, Bima hailipi kirahisi kama unavyofikiria.
Nimefanya kazi na bima kwa miaka kumi hivi... Wengi wetu hatuna uelewa mpana wa mambo ya bima, hatuzisomi zile policy na ishu ya rushwa za police inatatiza wengi
Ukiachana na hizi bima za ssrikali ZIC na NIC bima nyingine karibia zote ziko poa.. Lakini huendi tu kuripoti ajali na kulipwa.. Kuna taratibu zake na kila hatua ni nyaraka na hapa wengi ndio wanapofeli
Mimi ni mfaidikaji wa bima na nimelipwa mara nyingi tuu.. Kwenye bima ZINGATIA UTARATIBU, ZINGATIA NYARAKA! utafaidi
 
Nimefanya kazi na bima kwa miaka kumi hivi... Wengi wetu hatuna uelewa mpana wa mambo ya bima, hatuzisomi zile policy na ishu ya rushwa za police inatatiza wengi
Ukiachana na hizi bima za ssrikali ZIC na NIC bima nyingine karibia zote ziko poa.. Lakini huendi tu kuripoti ajali na kulipwa.. Kuna taratibu zake na kila hatua ni nyaraka na hapa wengi ndio wanapofeli
Mimi ni mfaidikaji wa bima na nimelipwa mara nyingi tuu.. Kwenye bima ZINGATIA UTARATIBU, ZINGATIA NYARAKA! utafaidi
Umeelezea vizuri sana Bro, kwa kuongezea hapo hapo, hata mimi pia ni mnufaika wa Bima ila Haikuwa kazi rahisi. Na hata ilipothibitishwa nastahili kulipwa bado nilisubiri zaidi ya miezi miwili gari kutengenezwa, Kabla ya hapo tena nilishatumia mwezi mzima kukusanya taarifa pamoja na vielelezo kupeleka Bima.
Wakati gari yenyewe Ilikuwa imepata Damage kwenye mlango tu.
 
Umeelezea vizuri sana Bro, kwa kuongezea hapo hapo, hata mimi pia ni mnufaika wa Bima ila Haikuwa kazi rahisi. Na hata ilipothibitishwa nastahili kulipwa bado nilisubiri zaidi ya miezi miwili gari kutengenezwa, Kabla ya hapo tena nilishatumia mwezi mzima kukusanya taarifa pamoja na vielelezo kupeleka Bima.
Wakati gari yenyewe Ilikuwa imepata Damage kwenye mlango tu.
Uchelewesheji wa kutoa go ahead ya matengenezo ni tatizo la bima nyingi bongo
 
Honda ni brand iliyotengenzwa kwa ajili ya maskini ,maskini hawazitaki wamebaki kukariri ,matajiri wa bahiri wanazikimbilia ,moja ya brand inayofanya vizuri soko la America na ulaya ni honda kwa ujumla

Honda cross road ni gari nzuri imetengenezwa kwa vertion mbili ,JDM na soko la nje

Usifanye kosa kununua honda cross road kutoka singapore ........nyingi hazijafanyiwa recondition

Ni muhimu sana kununua kupitia soko la japan hautaijutia hata siku moja ,kuanzia muonekano ,power ,fuel consuption

sent from HUAWEI

Saf sana maana hii gari huwa naikubali sana sema sasa maneno yawatu huwa yananikatisha tamaa sana ukiwauliza
 
Back
Top Bottom