Mafiningo
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 4,436
- 4,646
Sahihi, mafundi wanaharibu magari kwasababu ya knowledge yao ndogo.Wanaoharibu magari Ni mafundi
Na wao ndio waanzilishi wa hizi story za kuponda baadhi ya magari wanayoshindwa kuyatengeneza.
Sahihi, mafundi wanaharibu magari kwasababu ya knowledge yao ndogo.Wanaoharibu magari Ni mafundi
Mafundi wengi Kama kina Manara uelewa mdogo. Imejaa elimu ya kulee.....Sahihi, mafundi wanaharibu magari kwasababu ya knowledge yao ndogo.
Na wao ndio waanzilishi wa hizi story za kuponda baadhi ya magari wanayoshindwa kuyatengeneza.
Hata hao mafundi wanaojifanya wanajua Toyota wengi ni wababaishaji na ujanja ujanja mwingiiMagari yote yanayoitwa yanasumbua ni kwasababu ya kukosa mafundi sahihi na uhaba wa spare zake.
Tz au Afrika mafundi wengi ni wa Toyota na spare za toyota zimejaa madukani.
Labda Kagame atatutoa kimasomaso na mradi wake wa Volks Wagen.
Hii gari nimeikuta jana usiku jamaa kafungua bonnet mahali ishamchemsha! Honda tutumie pikipiki tu kibongo bongoKama una hela za mawazo nakushauri usijichanganye ukanunua Honda CR-V utajuta. Nilinunua kwenye mnada Morogoro - Kilimo linanitesa kuliko maelezo. Nimekaribu kuliuza kupitia madalali, nikifika picha hakuna anayejibu.
*** Nawataadharisha maana huko mitandaoni Bei inavutia Ila ukijichanganya usije kusema hukuambiwa
View attachment 1950104
Tatizo matunxo halafu unakuja kufungua uzi eti HONDA C-RV zinasumbua ,huo ni uwongo ,tena mkubwa hakuna brand imra nzuri ,na matunzo yake ni kiduchu sana compare na Toyota Rava 4 ,
Mmezoea kudanganyana pitia bac hata forum mbalimbali soma uone watu walivyotoa credit ,wazungu hawana ubabaishaji sio kama manazi wa Toyota wa Jf
Honda ndio mpango mzima ,honda fit ,honda CRV,Honda ondensy , narudia onda zidumu milele
sent from HUAWEI
Honda ni brand iliyotengenzwa kwa ajili ya maskini ,maskini hawazitaki wamebaki kukariri ,matajiri wa bahiri wanazikimbilia ,moja ya brand inayofanya vizuri soko la America na ulaya ni honda kwa ujumlaVp kuhusu honda crossroad mzee
Wee kumbee hapo sasa,Bibi ana Mini cooper mjukuu ya rangi nyekundu mixer red
Bro, Bima hailipi kirahisi kama unavyofikiria.Unakuwa na bima kubwa tuu hutapata hizi shida ndogo ndogo
Si wote ni wanyongeSi kwa Afya ya Mnyonge-Mzalendo
Tz tanzania si africa. Mafund wa kibongo hawatak kujiongeza kuifaham gari za kisasa.Magari yote yanayoitwa yanasumbua ni kwasababu ya kukosa mafundi sahihi na uhaba wa spare zake.
Tz au Afrika mafundi wengi ni wa Toyota na spare za toyota zimejaa madukani.
Labda Kagame atatutoa kimasomaso na mradi wake wa Volks Wagen.
Nimefanya kazi na bima kwa miaka kumi hivi... Wengi wetu hatuna uelewa mpana wa mambo ya bima, hatuzisomi zile policy na ishu ya rushwa za police inatatiza wengiBro, Bima hailipi kirahisi kama unavyofikiria.
Umeelezea vizuri sana Bro, kwa kuongezea hapo hapo, hata mimi pia ni mnufaika wa Bima ila Haikuwa kazi rahisi. Na hata ilipothibitishwa nastahili kulipwa bado nilisubiri zaidi ya miezi miwili gari kutengenezwa, Kabla ya hapo tena nilishatumia mwezi mzima kukusanya taarifa pamoja na vielelezo kupeleka Bima.Nimefanya kazi na bima kwa miaka kumi hivi... Wengi wetu hatuna uelewa mpana wa mambo ya bima, hatuzisomi zile policy na ishu ya rushwa za police inatatiza wengi
Ukiachana na hizi bima za ssrikali ZIC na NIC bima nyingine karibia zote ziko poa.. Lakini huendi tu kuripoti ajali na kulipwa.. Kuna taratibu zake na kila hatua ni nyaraka na hapa wengi ndio wanapofeli
Mimi ni mfaidikaji wa bima na nimelipwa mara nyingi tuu.. Kwenye bima ZINGATIA UTARATIBU, ZINGATIA NYARAKA! utafaidi
Uchelewesheji wa kutoa go ahead ya matengenezo ni tatizo la bima nyingi bongoUmeelezea vizuri sana Bro, kwa kuongezea hapo hapo, hata mimi pia ni mnufaika wa Bima ila Haikuwa kazi rahisi. Na hata ilipothibitishwa nastahili kulipwa bado nilisubiri zaidi ya miezi miwili gari kutengenezwa, Kabla ya hapo tena nilishatumia mwezi mzima kukusanya taarifa pamoja na vielelezo kupeleka Bima.
Wakati gari yenyewe Ilikuwa imepata Damage kwenye mlango tu.
Unashawishika kirahisi hivyo, huku hajataja hata sababu moja zaidi ya manung'uniko.Utakuwa umeokoa wengi kwa huu msisitizo wako mkuu.
Honda ni brand iliyotengenzwa kwa ajili ya maskini ,maskini hawazitaki wamebaki kukariri ,matajiri wa bahiri wanazikimbilia ,moja ya brand inayofanya vizuri soko la America na ulaya ni honda kwa ujumla
Honda cross road ni gari nzuri imetengenezwa kwa vertion mbili ,JDM na soko la nje
Usifanye kosa kununua honda cross road kutoka singapore ........nyingi hazijafanyiwa recondition
Ni muhimu sana kununua kupitia soko la japan hautaijutia hata siku moja ,kuanzia muonekano ,power ,fuel consuption
sent from HUAWEI