swagazetu
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 4,251
- 1,467
Tumechoka kudhalilishwa,vijembe na dhihaka,LISSU anatufaa Tanzania na ndio mkombozi wa kweli,zanziba FATUMA KARUME AU MAALIM SEIF chagueni.
Hii ni taarifa rasmi na endelevu.Kama ccm wanataka kuendeleo kuwepo kwenye uso wa dunia hawana budi kumkubali Lissu.
Haijatokea lisasi 38 kwa mara moja zikamuacha mtu salama ila tu yule MTEULE wa Mungu pekee.
Hon.Tundu Antiphas Mungh'wai LISSU for Tz 2020.
Hii ni taarifa rasmi na endelevu.Kama ccm wanataka kuendeleo kuwepo kwenye uso wa dunia hawana budi kumkubali Lissu.
Haijatokea lisasi 38 kwa mara moja zikamuacha mtu salama ila tu yule MTEULE wa Mungu pekee.
Hon.Tundu Antiphas Mungh'wai LISSU for Tz 2020.