Homosexuality/homophobia

Mbu

JF-Expert Member
Jan 11, 2007
12,753
7,845
Hivi ni kweli kuna watu wanazaliwa Gays/Lesbians? ama ni tabia tu kama tabia nyingine kama Uasherati, Uzinzi, Ukahaba, au ulevi, tabia ambazo mtu anajifunzia ukubwani kutokana na msukumo wa maisha na jamii inayomzunguka?

...au ushoga ni 'Genetically', mchanganyiko wa Chromosomes ndizo zinazompelekea mtu kuwa 'huku hayuko, kule hayuko'?

...Utamsaidiaje mtu wako wa karibu ambaye mwelekeo wake unaashiria matamanio yake kimwili yanaelekea kuzidi kwa mtu wa jinsia moja na yeye bila kumuathiri kisaikolojia, wala jamii inayowazunguka?
 

...Hivi ni kweli kuna watu wanazaliwa Gays/Lesbians? ama ni tabia tu kama tabia nyingine kama Uasherati, Uzinzi, Ukahaba, au ulevi, tabia ambazo mtu anajifunzia ukubwani kutokana na msukumo wa maisha na jamii inayomzunguka?

...au ushoga ni 'Genetically', mchanganyiko wa Chromosomes ndizo zinazompelekea mtu kuwa 'huku hayuko, kule hayuko'?

...Utamsaidiaje mtu wako wa karibu ambaye mwelekeo wake unaashiria matamanio yake kimwili yanaelekea kuzidi kwa mtu wa jinsia moja na yeye bila kumuathiri kisaikolojia, wala jamii inayowazunguka?

A aaa,
Hawa NIMEAMBIWA KUWA TANZANIA hawatakiwi. Kuna watu hawawataki kabisa. Hivyo msaada mkubwa kwao kama wako Tanzania waambie au waende Zenji au kama wako Bara, basi, watafute kamba na kwenda msituni na kuitumia. Ila waache tu ujumbe.
 
A aaa,
Hawa NIMEAMBIWA KUWA TANZANIA hawatakiwi. Kuna watu hawawataki kabisa. Hivyo msaada mkubwa kwao kama wako Tanzania waambie au waende Zenji au kama wako Bara, basi, watafute kamba na kwenda msituni na kuitumia. Ila waache tu ujumbe.

halafu ajabu yenyewe utakuta huyo anayekurupuka kutoa amri hizo naye ana 'jamaa wake wa karibu' tabia zake hazieleweki eleweki, yaani imekuwa kama ya kumtukana mkunga wakati uzazi ungalipo vile...

...yaani imekuwa kama taboo kuongelea hili katika jamii, wakati nyuma ya pazia 'wanashangiliwa' na kusifiwa na hao hao kwa vituko vyao.
 
Ushoga sio genetically, ni roho chafu ya shetani, ni pepo kama vile pepo mahaba, maimuna,makata au subiani. Kuna jini moja anaitwa jini abubakari, yeye ni pepo la shetani linaloingiza hamu ya wanaume kulawitiwa na wanaume wenzao, wanapoamua kufanya hivyo, hawajipendei, ni kwasababu ya nguvu ya hilo jini tu. cha maana wakiokoka na kumpa Bwana Yesu maisha yao, jini litakimbia, na wanaweza wakapona na kuondokana na hiyo roho chafu ya shetani kutoka kuzimu. Kwanini ushoga utanajwa sana sehemu za pwani, mombasa zenji na ukanda wa pwani? hata kama sio wa wanaume, mbona watu wa pwani wengi sana wanawaingilia wanawake zao kinyume na maumbile?huo nao ushoga vilevile kwasababu anus ni anus tu, anus ya mwanaume ni sawa tu na ya mwanamke.

wengi wameshuhudia wanaume wakiingiliwa na majini usiku wakiwa wamelala bila wao kujipendea, kuna mtoto mmoja mtwara, alipohojiwa alisema, kulikuwa na jini lilikuwa linakuja kumwingilia bila yeye kupenda kile siku, na kule kukizoea basi anataka kila siku hata kwa watu wa kawaida.

kipindi cha nyuma popobawa lilitokea zanzibar na pwani huku, lililawiti watu wengi hadi viongozi wakubwa. hawana nguvu za kumng'oa, pasipo nguvu ya Jina la Yesu, hawawezi kumng'oa. Kwetu kule bara, kwanza hatujui nini maana ya ushoga, kwasababu watu hawaamini inawezekanaje mtu akaingiza sehemu ya mavi, yaani kama mtu kama huyo akitokea kule anaweza akaulizwa maswali gunia zima, ni kwamba hayapo, na wanaweza hata wakamwua.

mimi nashauri,kama kuna mtu shoga, hawezi kuacha huo ushoga mpaka ampokee bwana Yesu aliyekuja kutupatia nguvu ya kushinda dhambi, ndo ataweza kuondokana na hili jini baya, la sivyo, ataishia kubaguliwa na atakufa si siku zake. kwa wale waliowahi kwenda kama nchi za Marekani, ukiwa kule watu wakishikana mikono wanaume watupu, unaweza kufikiri ni kitu cha kawaida, wengi wanashangaa kuona hapa africa tunashikana mikono wakati wa kutembea, lakini hatumaanishi ushoga. huu ni uchafu wa sodoma na gomora.

OLE WAKE MTU YEYOTE ANAESAPOTI USHOGA, AU ANAEWASAPOTI MASHOGA NA KUWAITA WANA HAKI ZAO KUFANYA USHOGA,kwasababu atakula sahani moja pamoja nao kama ile sahani waliyokuwa sodoma na gomora. hata nchi yetu ya Tanzania inakataza. Ukisoma SOSPA kwa wale wanasheria wanajua(Sexual Offence Special Provision Act), you can go download it from the website of the parliament of Tanzania, kumwingilia mtu mwingine mwanaume au mwanamke kinyume na maumbile, unatakiwa kufungwa kifungo cha maisha. hivyo mashoga wakikamatwa hapa Tanzania, wanastahili kifungo cha maisha. the issue is only how to prove it, kwasababu hauwakuti wakifanya ivyo vitendo, lakini kama kuna proof, wanatakiwa kufungwa maisha kulingana na sheria hii. Amina.
 
Nionavyo mimi ushoga ni tatizo la kiafya na kijamii zaidi kuliko crime na dini/imani inatumika kunyima uhuru wa kujadili kwa kirefu kiini cha tatizo lenyewe na matokeo yake ni kuendelea kukua kwa tatizo lenyewe.

Kuhusu Tanzania tatizo kuonekana katika mikoa ya pwani ni la kihistoria zaidi sababu mikoa ya pwani ndio mikoa ya mwanzo kendelea na kupata wageni kutoka maeneo mbalimbali ya dunia, sishangai kuona hata ushoga kama utaonekana zaidi mikoa hiyo hata harakati za uhuru zilianzia katika miko hiyo. Kutokana na kuendelea kwa maeneo mengi ya Tanzania sasa si salama tena kwa mijini na vijijini ushoga upo.

Magereza, kupombeka kupita kiasi, utumiaji wa madawa ya kulevya sasa unachangia kwa kiwango kikubwa kuenea kwa tabia ya ushoga. Tafiti nyingi za Zanzibar na Bara zimeonyesha sehemu kubwa ya mateja wanashiriki katika uchafu huu.

Kwakuwa tatizo lipo basi kwa uwazi mkubwa watu walijadili kuliko kufanya siri wakati jamii inaangamia. Hata dini si salama kwani mara ngapi tumesikia waumini na viongozi wanashiriki? Mpaka kuna askofu shoga, Padre alikamatwa akimshughulikia kijana Dar.
 
Msaada Wa Mwisho Waambie Wamrudie Mungu Tu Na Hilo Ndilo Njia Ya Mwisho Ndugu Yangu..maandiko Yenyewe Yanakataa Haya Yote Akimjua Mungu Hakuna Uchafu Atakaofanya
 
ushawahi kuusikia msukosuko uliyoyakumba makanisa Katoliki, na sasa kanisa la anglikana kutokana na kashfa za ushoga?

Nadhani hao Gay Bishops ndio wapo karibu zaidi na vitabu na maandiko matakatifu, lakini 'matamanio' ya nafsi yanazidi 'matamanio' ya kiroho, au ndio alama za nyakati?

Western scientists 'inaonekana' wao weshakubaliana na hili, kwamba Hormonal inbalances wakati wa formation ya fetus kwenye placenta kunaweza kuchangia, ndio maana ili kuwasaidia hawa 'mashoga', transgender surgeries sio siri tena,
 
A aaa,
Hawa NIMEAMBIWA KUWA TANZANIA hawatakiwi. Kuna watu hawawataki kabisa. Hivyo msaada mkubwa kwao kama wako Tanzania waambie au waende Zenji au kama wako Bara, basi, watafute kamba na kwenda msituni na kuitumia. Ila waache tu ujumbe.

Umeniacha hoiiiiiiiiiiiiiiii, nisahihi kabisa maneno yako
 
A aaa,
Hawa NIMEAMBIWA KUWA TANZANIA hawatakiwi. Kuna watu hawawataki kabisa...

...wewe je, unawakubali?
 
Back
Top Bottom