Home sweet Home via Google Earth

kadoda11

JF-Expert Member
Jan 6, 2011
21,456
20,709
Najihisi siyo mpweke tena baada ya kusafiri Virtually toka hapa nilipo mpaka home via Google Earth.Hii mitaa ndipo mama yake na kadoda11 na Ndg zake wengine wanaishi.Nakaona kakibanda ka Bmkubwa(mama yangu) kwa mbaaalii.i miss you mama.natamani wadau wengine muweke Google Earth images za mitaa yenu na hata ya Vijiji vyenu cos sasa dunia ishakuwa kijiji na google Earth iko more advanced inapenya kila pembe ya dunia.
kwetu.jpg
 
Ha ha haaa, mama's boy pole kwa ku-miss bi mkubwa!
Karibu nyumbani kwa xmass na new year holidays.
 
Hata na sie wa Itabagumba au Imalamakoye pataonekana, siju hata kama vitongoji vyetu vitakuwepo zaidi za sketch ya eneo, hongera hata kwa kufika kwa hisia
 
Ha ha haaa, mama's boy pole kwa ku-miss bi mkubwa!
Karibu nyumbani kwa xmass na new year holidays.
hahah next week tu nipo hapo.btw kwani wewe ni father's boy?! kwangu mama ndio kila kitu mkuu.nina sababu ya kumkumbuka.
 
hahah next week tu nipo hapo.btw kwani wewe ni father's boy?! kwangu mama ndio kila kitu mkuu.nina sababu ya kumkumbuka.

Teh..., karibu home sweet home.
Mama nampenda tena sana tu.., nani kama Mama duniani?!
Nlikutania tu mkuu.., usininukuu!
 
Google Earth inaweza kupenya kwenye nyumba za Tembe kweli? ndiko ninamoishi!
 
Hata na sie wa Itabagumba au Imalamakoye pataonekana, siju hata kama vitongoji vyetu vitakuwepo zaidi za sketch ya eneo, hongera hata kwa kufika kwa hisia



Kwa hii kaka hakuna sehemu utakayoikosa,mimi nimeweza kufika mpaka Ukune alipozaliwa babu yangu...
 
Kwa hii kaka hakuna sehemu utakayoikosa,mimi nimeweza kufika mpaka Ukune alipozaliwa babu yangu...

Duuh kweli teknolojia imekua siku hizi, na ndio maana nchi kama USA ni wababe maana nakumbuka miaka ya 2000 mwanzoni walikuwa wanaivuta Baghdad na kuionyesha kila mtaa mwisho wataongezea mpaka wanakuona ulivyolala ndani sasa.
 
Duuh kweli teknolojia imekua siku hizi, na ndio maana nchi kama USA ni wababe maana nakumbuka miaka ya 2000 mwanzoni walikuwa wanaivuta Baghdad na kuionyesha kila mtaa mwisho wataongezea mpaka wanakuona ulivyolala ndani sasa.



Huko kaka wameshafika na wana uwezo wa kukuona mpaka unavyoishi ndani ya nyumba yako,sasa hivi wanahangaika kuona wale wanaojificha kwenye mashimo na kupanga mashambulizi dhidi ya wamarekani.
 
Tatizo hawa jamaa hawaja updates image zao za kitambo mno kati ya 2008 au 09 mpka leo zipo zilzile kwa hiyo mijengo mipya huwezi kuiona
 
Kitaa kwangu hapo karibia na shule..
aah we kweli ni mwenyeji wa kijichi.ni jirani yangu.kama hutojali tutafutane this december kwa kufahamiana.kijiwe changu cha ku-socialize ni pale Uwakiki Pub njia panda Neluka.
 
Najihisi siyo mpweke tena baada ya kusafiri Virtually toka hapa nilipo mpaka home via Google Earth.Hii mitaa ndipo mama yake na kadoda11 na Ndg zake wengine wanaishi.Nakaona kakibanda ka Bmkubwa(mama yangu) kwa mbaaalii.i miss you mama.natamani wadau wengine muweke Google Earth images za mitaa yenu na hata ya Vijiji vyenu cos sasa dunia ishakuwa kijiji na google Earth iko more advanced inapenya kila pembe ya dunia.
View attachment 73402

Hii nchi haina Serikali bali ina genge la mafisadi, angalia mpangilio wa nyumba mpaka kinyaa! Hakuna idara ya mipango miji-ni hovyo hovyo, vuta pesa za posho za semina, warsha, kongamano, workshop, symposium na upuuzi mwingine!
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom