Mom
JF-Expert Member
- Oct 13, 2009
- 708
- 29
Nini hasa kina sababisha homa za usiku kwa watoto wadogo (infants). homa hizi huanza muda wa jioni sa1 na mara nyingi inakuwa kati ya 38C - 38.4C degrees lakini ifikapo asubuhi mtoto anakua normal but very tired! hospital wanasema ni meno yanaota lakini naona inachukua muda mrefu nearly two months sasa. kwa yeyote mwenye uzoefu hapa naomba ushauri