Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 30,708
- 39,788
Hata hii app mpya inayozua gumzo ya Faceapp ni AI.Yes Sophia ni matokeo ya AI.
She is in Saudi Arabia. Am I correct? Last time I checked she was in Saudi.
Nimeona pia robots kama Sophia wapo wengi tu sasa hivi.
And Japan is lead the way.
Pia simu hizi tunazotumia ni AI.
Na jambo lakushangaza sana AI devices/robots zinafikia uwezo wa kujifunza yenyewe.
Will this pose danger to humanity?
Baadhi wanaona ni hatari na wengine wanaona ni maendeleo tu.
Mimi naungana na kundi la pili.
Few years back I read about nanotechnology and how it revolutionize our understanding about the brain.
Sasa hivi kuna uwezekano ku-download taarifa toka kwenye brain yako.
This is interesting.
Ni kiasi cha muda tu kabla haya yote kuwezekana kwa hakika.