Mr. MTUI
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 8,130
- 8,329
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sana mkuuVipi mkuu Nickelodeon nayo pia wanawekaga maudhui hayo
Oooh ntastopisha watoto wasiiangalieSana mkuu
Rich.com - mshikaji very smart ila ndio hivyo tena akalazimika kucheza character ya kuwa gay!Km blindspot..bonge la series ila wameforce kuweka part ya gays matokeo yake imekua ktuko nahisi ht waigzaji walilazmishwa
Mimi nimepiga marufuku Nickelodeon channel niyakishenzi sana Nanimeifunga kwa PIN
Hii cartoon ina transgenders!!
yah iangalie vzuri utaona hadi mashogaHii cartoon ina transgenders!!
Yeah mkuu.. ukiangalia vzuri unaona kbsa part ya ugay wao inawakera ad waoa..kuke reddit pia waliiliongelea hili..ila ndo hela na kazi hana jinsiRich.com - mshikaji very smart ila ndio hivyo tena akalazimika kucheza character ya kuwa gay!
Ukarasa mpya umefunguliwa katika kuutangaza na kusambaza habari za ushoga na wanaharakati wa kutetea mapenzi ya jinsia moja.
Tunajua nguvu ya Hollywood katika ulimwengu wa sasa kwa jinsi wanavoshepu dunia yetu.
Cartoon ya Arthur inayopendwa na sana na watoto karibu duniani kote imekuwa ikioneshwa kwa muda mrefu sana ikionesha Mwalimu anayeitwa Arthur akifunga ndoa na mwanaume mwingine kanisani imeamsha hisia tofauti kwa wapenzi wa Cartoon hiyo na namna gani italeta athari kwa watoto.
Kama jamii ya kitanzania hili suala ni la muhimu kwa jamii yetu na kizazi chetu cha watoto wetu, mambo si mambo kwenye hili swala la ishoga.
Nini maoni yako kuhusu vitu wanavoangalia watoto zetu
View attachment 1098109View attachment 1098110
The moment nilipogundua inatangaza mambo ya ajabu nilihakikisha mtoto wangu haiangalii mpaka na yeye amezoea ikianza tu anasema hii baya toa soo siiangalii kabisa.yah iangalie vzuri utaona hadi mashoga
Msikiti gani umewahi kufungisha ndoa ya jinsia moja???ila makanisa kila kukicha tunatangaziwa ndoa za jinsia mojaHata misikitini,.mashekhe mapunga-sese wapo kibwena tuu,.
Hata misikitini,.mashekhe mapunga-sese wapo kibwena tuu,.
Umeitoa wapi hii theory?In this world world now masculinity is criminalized and feminines are promoted.
Men are to be eliminated....
All strong men,and manhood behaviors are deemed inappropriate in this day and age.....
The world is changing...
Male touch is not welcomed anymore......
They want to eliminate all us men...only women and soft men are ruling the world now....
Umeitoa wapi hii theory?