Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,944
- 18,653
Kwelidah aiseeh lakini ukiwa unaangalia kuyagundua hayo vigum sana.
Bongo huhitaji nguvu wala akili nyingi kugundua.Ngumu sana kushtukia...... Kimeo kipo kwa bongo movies....
Bongo movie wamezidi aisee uliona wapi jambazi anavua viatu mlangoni??Nilichogundua hata hollywood wanakosea sana kwenye muvie zao kama wanavyokosea bongo movie.
*Sema tu ndo hivyo akijisaidia kuku ni taofauti na atakavyosemwa bata.
-Tusapot kazi za wasanii wetu wa nyumbani.
Ngumu sana kushtukia...... Kimeo kipo kwa bongo movies....
hata hapo tu sijagundua.dah aiseeh lakini ukiwa unaangalia kuyagundua hayo vigum sana.