Mimi nawatakia heri na baraka wana JF wote muwe na mwisho wa mwaka mwema na baraka tele katika mwaka ujao
Asante sana Kim nana (Your such an understanding woman, keep it up)
Nawatakia mafanikio mema
gorgeousmimi (I miss those times)
nameless girl (thanks for making me a good person)
^^
Dah! Himidini umenikumbusha kitu.Chujio popote ulipo, udumu katika upole wako.
Nivea Nazjaz (best wishes)
Angel Nylon (Uwe na fanaka)
Mtoto halali na hela (keep on with your nice comments)
Tyta (Well done)
Tized (stay brave)
^^
Mutoto mubaya sana weye!
How come sipesho pipo unawajeneralaiz?
naomba kutakiwa heri na baraka in sipesho mana!!!!!
Nakushukuru sana mkuu kwani nafurahi kusikia binadamu mwenzangu ananikumbuka kwa mema,Mungu akubariki sana
Mkuu,vipi umejipangaje kuuacha ukapera?
Mimi najipendekeza kwa 'Valentina' nione kama atanihifadhi ...lol!
Kijana Eiyer! nakuwish vyote vilivyowishiwa kwa mada na wadau wengine.
Can i meet you?
Duh!! Jina lako gumu linanitia naniliu nikitamka Mashaxizo love you uwe na Christmass njema na mwaka mpya wenye baraka tele.
You want to meet me mkuu?
Where?
Ameen, Ameen, nashukuru sana,nawe pia ustay young forever.Hapo sasa umenena!
Mwenyewe love you mingi mingi! Heri na baraka zije kwako everlenk to the rest of your life. na laiti Mungu angesikia ningemwamwabia usife. kwa vile hakubaliani na hilo, basi stay young forever.
Huyu huwa nahisi hisi tu uwepo wake! Hata sasa, marashi yake nayasikia!
Hawa ndio Dr. Jose Chameleone anawaimba ktk wimbo wa 'Tubonge'
Chujio
^^
Yap. i wanna see you.
Mmmh! kuhusu wapi hiyo ishu kwa kweli. kwa maana tuko pande tofauti sana ukizingatia kwasasa ni ngum sana kukufata. may be ukipata kasafari ka kuelekea kwa mwambao tunaweza meet.