Hold on a minute! Mtu na shemeji yake

Well, nimekuwa nikijiuliza ni kwanini wakati mwingine inakuwa vigumu sana kuchukuliana hatua serikalini na katika ngazi mbalimbali za uongozi wa Taifa letu. Mwanzoni nilidhani kinachowaunganisha ni maslahi yao ya kifedha na siri wanazotunziana.

Usiku wa leo nimeota ndoto ambayo kwa hakika ni mbaya. Tulikuwa tumesimama kwenye ufukwe wa bahari ya hindi tukishuhudia magari ya maharusi yakipita huku wakirekodi video. Mimi na wenzangu tusiohusiana na harusi hiyo tukajikuta tunarekodi video kwa kimbelembele chetu cha ndotoni.

Tulipokaa kuangalia mikanda hiyo ya video ndipo tulijikuta tunapigwa na butwaa.

a. hakukuwa na harusi moja bali zilikuwa ni nyingi
b. kuna baadhi ya watu walikuwa wanajirudia toka harusi moja (ambako alikuwa ni mkwe) na kwenda harusi nyingine (walikuwa mashemeji na wifi) na kuibuka kwenye harusi nyingine (ambako walikuwa ni maharusi).

Mwisho wa mkanda (pale penye "ze endi") maharusi wote wakajipanga mstari kupiga picha ya pamoja. Ndipo mmoja wao akainua bango linalosema "Now you know". Nilipoangalia waliosimaam katika kupiga picha naweza kusema ni "who is who" of Tanzania Political history and political dynasties...

Hata hivyo kati ya walionishtua ni ushemeji kati ya

Rostam Aziz na Jakaya Kikwete!!!

Sijui ni kweli kiasi gani au ndio "ndoto" tu..
Mzee!! bado huwa unarekodi video ndotoni? Au ulipoteza vifaa?
 
Mkjj unanikumbusha undugunization uliopo ndani ya chadema kama unavyoelezewa kwenye thread moja wapo humu. Duhh, au ndio mila zetu Tanzania?

Mwanakiji haja sema tu lakini iliyofunga kazi ilikuwa arusi ya tano. Ilileta zaidi
wageni waalikwa
waliokuwa siti za nyuma na wengine wapya kabisa kutoka
arusi za pili, tatu na nne huku
ma bwana na mabibi harusi na maids wak ipanda canterna wengine wakikaa na nje na kamati ya ulinzi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom