Wambandwa
JF-Expert Member
- Dec 3, 2006
- 2,249
- 829
Muungwana ana mke mburushi labda kuna ukweli kwenye ndoto ya Mwanakijiji
Na ni mke halali wa ndoa, anakaa Masaki. Asili yake ni SHY lakini posa ilipelrkwa Oman!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muungwana ana mke mburushi labda kuna ukweli kwenye ndoto ya Mwanakijiji
Hi si ndoto Jamani ee, nijuavyo mimi huyo JK kaoa dada wa RA,na ndio mana inamuwia jk vigumu kudeal na RA mana ana damu kule kwa akina Rostam jamani.Mi nashauri kama JK hawezi kuwabana hawa watu tafanya maandamano nchi nzima ya kushinikiza ajiuzulu maana sasa anapeleka nchi pabaya kwa ushemeji wake huu.
mwenye macho haambiwi "kodoa" watu wa pwani twasema "asiyejua maana..."...
Mkandara nyongeza ambayo wachache wanafahamu ni kuwa ameshapatikana na "Junior"..
Well, nimekuwa nikijiuliza ni kwanini wakati mwingine inakuwa vigumu sana kuchukuliana hatua serikalini na katika ngazi mbalimbali za uongozi wa Taifa letu. Mwanzoni nilidhani kinachowaunganisha ni maslahi yao ya kifedha na siri wanazotunziana.
Usiku wa leo nimeota ndoto ambayo kwa hakika ni mbaya. Tulikuwa tumesimama kwenye ufukwe wa bahari ya hindi tukishuhudia magari ya maharusi yakipita huku wakirekodi video. Mimi na wenzangu tusiohusiana na harusi hiyo tukajikuta tunarekodi video kwa kimbelembele chetu cha ndotoni.
Tulipokaa kuangalia mikanda hiyo ya video ndipo tulijikuta tunapigwa na butwaa.
a. hakukuwa na harusi moja bali zilikuwa ni nyingi
b. kuna baadhi ya watu walikuwa wanajirudia toka harusi moja (ambako alikuwa ni mkwe) na kwenda harusi nyingine (walikuwa mashemeji na wifi) na kuibuka kwenye harusi nyingine (ambako walikuwa ni maharusi).
Mwisho wa mkanda (pale penye "ze endi") maharusi wote wakajipanga mstari kupiga picha ya pamoja. Ndipo mmoja wao akainua bango linalosema "Now you know". Nilipoangalia waliosimaam katika kupiga picha naweza kusema ni "who is who" of Tanzania Political history and political dynasties...
Hata hivyo kati ya walionishtua ni ushemeji kati ya
Rostam Aziz na Jakaya Kikwete!!!
Sijui ni kweli kiasi gani au ndio "ndoto" tu..
Mwisho wa mkanda (pale penye "ze endi") maharusi wote wakajipanga mstari kupiga picha ya pamoja. Ndipo mmoja wao akainua bango linalosema "Now you know". Nilipoangalia waliosimaam katika kupiga picha naweza kusema ni "who is who" of Tanzania Political history and political dynasties...
..
Mkjj,if Kikwete's son ask ua daughter's(lets say u have 1)hand in marriage,will u accept?
mzee wangu; kuna vitu vingine nikisema ni maono watu wanaweza kunidhihaki; ni baraka na laana.
Ukiangalia nililoandika leo kwenye Tanzania Daima.... na lililotokea Uganda, naamini kuna linalojiandaa kutokea Tanzania.. ndio maana mwenzio nimeanza kuhisi wakati wa kustaafu umekaribia sana.
mwnkjj can u put that bandiko here coz silioni kwenye website ya tanzania daima au liko kwenye hardcopy tu?mzee wangu; kuna vitu vingine nikisema ni maono watu wanaweza kunidhihaki; ni baraka na laana.
Ukiangalia nililoandika leo kwenye Tanzania Daima.... na lililotokea Uganda, naamini kuna linalojiandaa kutokea Tanzania.. ndio maana mwenzio nimeanza kuhisi wakati wa kustaafu umekaribia sana.