kwa nini tutumie mate wakati wino upo ? nikija na jina lingine, naomba invisible aniban (aangalie ip add.)! au akija mtu mwenye mtiririko wa mawazo kama wangu mumban. asante !!
nafikiri hapo utakuwa satisfied enough ! sasa nakuachia wewe ukumbi.
Please kada bila kuwa na watu kama wewe moto utawaka hapa please una role kubwa sana hapa usione watu wanakupinga lakini role yako ni kubwa kucool down temper za watu waliokufraustrated na mafisadi ni kazi kubwa na ukiondoka kuna siku watu wanaweza kufanya vitu vya ajabu, please usiondoke maana bado unaitajika.