Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,756
Kijiwe cha kahawa pale Temeke nusra wazichape.
Wa kwanza: Aisee juzi mh.Samia amechomwa hadharani chanjo ya CORONA
Wa pili : Uongo mtupu ,yule kachomwa maji matupu
Wa tatu: Acha ujinga ukichomwa maji unavimba ta..o ndio maana mkeo(akimjibu wa pili) ta toka alazwe AMEKUWA NA WOWOWO
Wa nne : Ndugu yangu tuheshimiane usifike huko....ninasemaje ,mh.Rais kachomwa chanjo ya PEPOPUNDA
Wa tano : Nyinyi mac...ko mtakuwa mas...uger kuendekeza chanjo za mabeberu.
Ustadhi mmoja akainuka na kumkwida huyo jamaa wa 5 akimtahadharisha kauli zake.
HAWA NDIO BAADHI YA WATANZANIA 🤣🤣
#TukitokezeniKuchanjwa
#ChanjoNiBoraKulikoTiba
#KaziIendelee
Wa kwanza: Aisee juzi mh.Samia amechomwa hadharani chanjo ya CORONA
Wa pili : Uongo mtupu ,yule kachomwa maji matupu
Wa tatu: Acha ujinga ukichomwa maji unavimba ta..o ndio maana mkeo(akimjibu wa pili) ta toka alazwe AMEKUWA NA WOWOWO
Wa nne : Ndugu yangu tuheshimiane usifike huko....ninasemaje ,mh.Rais kachomwa chanjo ya PEPOPUNDA
Wa tano : Nyinyi mac...ko mtakuwa mas...uger kuendekeza chanjo za mabeberu.
Ustadhi mmoja akainuka na kumkwida huyo jamaa wa 5 akimtahadharisha kauli zake.
HAWA NDIO BAADHI YA WATANZANIA 🤣🤣
#TukitokezeniKuchanjwa
#ChanjoNiBoraKulikoTiba
#KaziIendelee