Mateka wa Mbowe, unabwabwaja!Umewahi kumsikia magufuli anazungumzia matrilioni ya ununuzi wa ndege na ujenzi wa airport chato na upotevu wa zile 1.5tn?.......
Tuanzie hapo kwanza kwa maslahi ya taifa
Mateka wa Mbowe, unabwabwaja!Umewahi kumsikia magufuli anazungumzia matrilioni ya ununuzi wa ndege na ujenzi wa airport chato na upotevu wa zile 1.5tn?.......
Tuanzie hapo kwanza kwa maslahi ya taifa
Wewe ni msukule wa Mbowe, tunajua ni miongoni mwa BAVICHA wanaolipwa kuchafua JF. Ndiyo maana muda wote kuanzia asubuhi na usiku unashinda JF kutukana na kutoa matusi badala ya hoja. Ukiona hujibiwi manaake umedharaurika!Propaganda tu nilidhani ana nyaraka kumbe anatutuma kwa Gwajima!!
Anadai Mbowe ametapeli pesa za kampeni ilihali Waitara bado alikubali kugombea kupitia CHADEMA!!
Hvi tuhuma nzito hivi unadhani Dr Slaa asingezimwaga siku anasepa ama Zitto?
Dr Mashinji alikua katibu mkuu hajayasema hya sembuse hyu aliyekua subordinate tu.
Ifike mahala hawa waropokaji wafaiwe nyaraka kuthubitisha maana kma CAG anakagua mahesabu afu haoni huu ubadhirifu ila wanasiasa ndio wanauona basi nchi yetu ina matatizo mazito zaidi.
CCM jaribuni zaidi, Kma Dr Slaa alifeli sidhani kuna press conference ya kuivunja CHADEMA.
Kuna yule Naibu waziri alisema CHADEMA walimdhuru Lissu nashangaa polisi haijamuita kusaidia upelelezi na kosa la kuiba evidence eneo la tukio.
We unajua nini? Level yako ni kuimba mapambio humu JF. Waache waliokua kwenye uongozi wa chama waongee.Hizo propaganda za kizee bado zinauza zama hizi?
Fanya tu evaluation. Kama umetumia muda wako kutetea uovu halafu umepata like mbili tu. Ujue kuna shida mahali. Watu wameanza kuujua upande wa pili wa CDM.Propaganda tu nilidhani ana nyaraka kumbe anatutuma kwa Gwajima!!
Anadai Mbowe ametapeli pesa za kampeni ilihali Waitara bado alikubali kugombea kupitia CHADEMA!!
Hvi tuhuma nzito hivi unadhani Dr Slaa asingezimwaga siku anasepa ama Zitto?
Dr Mashinji alikua katibu mkuu hajayasema hya sembuse hyu aliyekua subordinate tu.
Ifike mahala hawa waropokaji wafaiwe nyaraka kuthubitisha maana kma CAG anakagua mahesabu afu haoni huu ubadhirifu ila wanasiasa ndio wanauona basi nchi yetu ina matatizo mazito zaidi.
CCM jaribuni zaidi, Kma Dr Slaa alifeli sidhani kuna press conference ya kuivunja CHADEMA.
Kuna yule Naibu waziri alisema CHADEMA walimdhuru Lissu nashangaa polisi haijamuita kusaidia upelelezi na kosa la kuiba evidence eneo la tukio.
Ukweli hauwi determined na likes ama maoni ya jamiiforums bali facts.Fanya tu evaluation. Kama umetumia muda wako kutetea uovu halafu umepata like mbili tu. Ujue kuna shida mahali. Watu wameanza kuujua upande wa pili wa CDM.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu jibu hoja acha kuzungukaWewe ni msukule wa Mbowe, tunajua ni miongoni mwa BAVICHA wanaolipwa kuchafua JF. Ndiyo maana muda wote kuanzia asubuhi na usiku unashinda JF kutukana na kutoa matusi badala ya hoja. Ukiona hujibiwi manaake umedharaurika!
Tumuamini CAG aliyetoa hati safi sio mtu anayeropoka bila nyaraka.
Ina maana CAG hakuona deni safi?
Mkuu ww ni mtu makini sitegemei uamini propaganda bila ushahidi
Utavuga sana ila hoja hapa ni utapeliNguvu zote anazotumia huyu mjinga wakati barabara ya Mombasa Moshi bar INA mashimo huyu mpumbavu alaaniwe
hizo ni kashfa & shutuma kubwa sana kwa mwenyekiti & CDM kwa ujumla. Ila ukweli utajulikana tuu.
Kwa jinsi mambo yanavyokwenda yanawafanya hata wale wasiopenda siasa kuanza kufuatilia. Kweli mambo yamenoga
Ngoja niwasaidie watu wa CCM wanaopiga propaganda mfu hapa.
Waitara asingehitaji kamwe kutengeneza video na kuileta hapa JF; kwa sababu haisaidii kitu.
Waitara yupo desperate ile mbaya, anatafuta njia ya kutokea, na anajuwa njia hiyo sio hapa JF.
JF haitoi shukrani kwa yeyote na wala haimzawadii chochote Waitara kutokana na taarifa yake kuwa hapa.
Anapaelewa vizuri sana, ambapo kama akiwasilisha taarifa za kummaliza Mbowe anazawadiwa mara dufu.
Sasa kwa nini asiende huko na ushahidi mzito, na badala yake aje hapa JF, itamsaidia kitu gani yeye?
Mbowe amepambana na kuzishinda njia nyingi za kumwondoa alipo. Mwita Waitara awe na ushahidi wa hakika wenye tuhuma za kummaliza Mbowe, halafu ashindwe kuzipeleka kwa watu ambao wanazitafuta usiku na mchana? Watu anaojua Waitara watamzawadia maradufu kwa taarifa zake zitakazotimiza malengo ya kumwondoa njiani Mbowe!
Mara nyingi Jukwaa hili la JF linatumika kama jalala vile.
Kuna watu wanadhani JF hakuna watu wenye akili timamu!
Hii hoja haijaanza na waitara ilianza tangu mwigamba sio ya leoMkuu yote haya yanasababishwa na ujinga wa watanzania yaani MIJITU mijinga mpaka kichefuchefu.sasa Jinga kama hili waitara nalo kwa sababu linajua kuna majinga zaidi yake yataamini lolote analosema yatakubali basi linalopoka tu. Na tatizo kuu ni Mbowe kugoma kuabudu kimungu chao.
Weye kuni'quote' mie...?
Nadhani Wewe ni mgeni humu jamvini. Siku zote hoja inayoletwa humu kama ni nzito lazima itakua na idadi kubwa ya wachangiaji. Kama ni mchango unaoungwa mkono lazima uwe na likes za kutosha. Na huwezi kuungwa mkono kama huna facts. Sema siku hizi tu JF imeingiliwa unaweza ukapiga porojo na ukapata likes za kutosha. Lakini wewe hata hilo limeshindikana kwenye hoja yako. Inabidi unishukuru hata mimi niliekujibu.Ukweli hauwi determined na likes ama maoni ya jamiiforums bali facts.
CAG ametoa hati safi ikimaanisha madeni yamehakikiwa sasa tumuamini waitara ambaye ametutuma kwa Gwajima ama CAG report?
Tujaribu kuwa objective tuache ushabiki, wwe binafsi nkikuuliza uprove hoja hta moja hapo utaweza? Eti Mbowe alitumia 300m kupambana na Waitara? Ssa alishindwa kumuundia kesi amvue uanachama hadi atumie pesa yote hyo kumpora jimbo?
Mbowe hajawa, hana na hatakuwa na nia ya kugombea Urais. Kwake yeye falsafa ni ya "hapendwi mtu ila fedha tu". Kuthibitisha hoja hii alimkaribisha Lowassa akiamini angeweza kuwa Rais na yeye akateuliwa kuwa Waziri wa Fedha au Wizara yoyote yenye kuhusika na pato kubwa la Taifa. Pamoja na kukosa nafasi hiyo, alifanikiwa kupata Wabunge wengi na kuongoza Halmashauri za miji mikubwa nchini. Ruzuku na michango ya Wabunge, hakika si kipato haba.Mimi sishangai, nilishasema muda mrefu Mbowe ni msanii!
Najua kwa akili yake ndogo anafikiri akilipa vijana watukane JF na kumtukuza yeye basi atapata uraisi!
We unajua nini? Level yako ni kuimba mapambio humu JF. Waache waliokua kwenye uongozi wa chama waongee.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbowe hajawa, hana na hatakuwa na nia ya kugombea Urais. Kwake yeye falsafa ni ya "hapendwi mtu ila fedha tu". Kuthibitisha hoja hii alimkaribisha Lowassa akiamini angeweza kuwa Rais na yeye akateuliwa kuwa Waziri wa Fedha au Wizara yoyote yenye kuhusika na pato kubwa la Taifa. Pamoja na kukosa nafasi hiyo, alifanikiwa kupata Wabunge wengi na kuongoza Halmashauri za miji mikubwa nchini. Ruzuku na michango ya Wabunge, hakika si kipato haba.
Kufanikisha azima yake ya utajiri (ati anachukia umaskini, huwaambia wanachama wake), anakiongoza chama kama kampuni yake ya biashara na si SACCOS, ambavyo wengi wanavyosema. Mkurugenzi Mkuu Mtendaji ni Katibu Mkuu wa chama. Viongozi wengine ni Wakurugenzi na Mameneja katika Idara mbalimbali ndani ya Chama. Wanachama na wafuasi ni "sales persons", wengi wao wakiwa machinga wa kuuza bidhaa zake. Bidhaa anazotengeneza na kuuza ni hizo kauli zake za kuigonganisha Serikali na wananchi. Kuthibitisha hoja hii, Mbowe ni mmoja wa Viongozi wa vyama vya upinzani aliyepinga, kwa nguvu zake zote, mabadiliko ya Sheria ya Vyama vya Siasa [The Political Parties (Amendment) Act, 2019] kwa kuwa yanampa madaraka Msajiri kufuatilia mienendo ya vyama vya siasa, hasa katika matumizi ya fedha.
Ushahidi mwingine, anashupalia kuwepo kwa Tume ya Uchaguzi ambayo anaweza kuweka mkono wake, kwa kutumia nguvu yake kipesa, kubadili matokeo ya kura. Kama anadai CCM hubadili matokeo ya kura, kwa nini yeye asiweze kufanya hivyo. Tunajua fika kuwa pesa ina nguvu sana kubadili tabia ya mtu yeyote.
Ukweli kwamba CAG hajaweza kubaini matumizi mabaya ya fedha za chama na ufisadi wa Mbowe, ni wazi kuwa watumishi wa ofisi ya CAG (siyo CAG mwenyewe), wanaotumwa kukagua hesabu za CHADEMA, hupewa rushwa.
HAKIKA MBOWE NI MJASIRIAMALI WA KISIASA BINGWA HASA
Mh! Kumbe, KUBWA LAO!Umeongea utoto gani hapa we dogo?