JAYJAY
JF-Expert Member
- Oct 31, 2008
- 7,494
- 7,517
Upinzani huu hauna nguvu ila kwenye chaguzi tu tena chaguzi ndogo unaua hadi mwanafunzi ili kupora jimbo, unatumia watendaji kuondoa majina yao na dhulma kibao. Halafu unajidai umeshinda, aisee! Mwendawazi si lazima aokote makopo.Upinzani wetu huu ni pesa tu,hawana malengo ya kushika dola ndio maana toka 1995 hadi 2000 hatuna upinzani wa maana, watu wanawaza ruzuku tu na kupigana kila mara at the end vyama vinakufa.