Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 7,152
- 10,862
Kwa upande wa Tanzania raisi wa nchi hiyo Makufuli alipokuwa akizindua shamba la miti kwao Chato alisema tuendelee kuchukua tahadhari ya ugonjwa lakini hakuna haja ya kujawa na hofu na kwamba watu wajifukize na hata akataja dawa zilizothibitishwa na mkemia mkuu kuua virusi na bakteria wote.Akaongeza kuwa tusikubali kuwa sehemu ya biashara za wengine.
Na kule Burundi waziri wa afya Thaddee Ndikumana amesema nchi yake haijaona umuhimu wa kuagizia chanjo za corona hasa kwa vile asilimia ya kupona kwa wale wanaopata ugonjwa huo ni zaidi ya 97.
Lazima mantiki hizo ziwatoe watu kwenye shida na msongo unaoleta maradhi mengine miilini.Si tunaona kasi ya kila mtengeneza chanjo anavyojitangaza mataifa mengine akitaka kuwahi soko.Na wako tayari mkupuo wa mwanzo kutoa sadaka ili kujichimbia sokoni.
Na kama watu wengi wamepata huo ugonjwa wakapona kirahisi na wengi bila kutumia dawa rasmi kutakuwa na umuhimu gani kupiga chanjo ambazo kwanza hazijajaribiwa vya kutosha na zipo fununu baadhi ya chanjo zina ajenda za siri katika miili ya watu.
Na kule Burundi waziri wa afya Thaddee Ndikumana amesema nchi yake haijaona umuhimu wa kuagizia chanjo za corona hasa kwa vile asilimia ya kupona kwa wale wanaopata ugonjwa huo ni zaidi ya 97.
Lazima mantiki hizo ziwatoe watu kwenye shida na msongo unaoleta maradhi mengine miilini.Si tunaona kasi ya kila mtengeneza chanjo anavyojitangaza mataifa mengine akitaka kuwahi soko.Na wako tayari mkupuo wa mwanzo kutoa sadaka ili kujichimbia sokoni.
Na kama watu wengi wamepata huo ugonjwa wakapona kirahisi na wengi bila kutumia dawa rasmi kutakuwa na umuhimu gani kupiga chanjo ambazo kwanza hazijajaribiwa vya kutosha na zipo fununu baadhi ya chanjo zina ajenda za siri katika miili ya watu.